Ukitoka kwa watu wa rwanda utahamia kwa watu ambao sio kabila lako..useless mind ...jamii forum kwa nini inaruhusu mada ya namna hii.mtu mpaka kufanya kaz bas ana vibal au keshakuwa raia na mamlaka zinamtambua
Kinyume na honouring act 2004 sio maamuzi ya familia jina na picha vsitumike ovyo pasipo ulazima na manufaa ya umma sio familia maana yeye n baba wa taifa
N short 1milion dollar ta kwa universal n kubwa hawawez kkupa afu wasikamue assert yao tena kwenye potential market unless aweke wazi kuwa hiyo site siyo yake bal n ya universal wemeweka ilkuanza kurudisha 2.2b na kutumia jina kupata wasanii wengine wa kunufaika na soko la east africa ambayo ndo...
Asee chibu anajitihada lakin kwa stail hii tutachoka mistar lain na hivo na na na mara la la la .. Mara ya ya ya ya... Baada ya mistar ya neyo hutaman endelea sikilia.. Bt big step.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.