Meagiza toyota premio 2003 baadala ya brevis

Hongera mkuu kwa premio umelamba dume in terms of fuel consumption na service costs. Baadhi ya vitu muhimu unapaswa kufanya service kwa wakati yaani 3000kms but muhimu zaidi utumie oil sahihi...japo zipo oil nyingi but to me mogas no oil nzuri ...si vibaya ukaiinua kidogo ili isichakae mapema sababu ya barabara zetu mbovu...either uweke 15" rim na 3/4 spacer kwa stroke 65" tire au 17" rim bila spacer na 55" tire hasa option ya pili premio zinapendeza zaidi...Mara zote hakikisha tair zako zinaupepo wa kutosha na usiendeshee breki...yani tumia breki zako vizuri...kwa ajili ya emergency usikose spana namba 8,10,12 na 14 kwenye gari yako
 
Hongera mdau, ilikua ndio gari ya ndoto yangu kauwezo kadogo nimeangukia kwene ist
 
Wakuu naomba kujua ubovu wa brevis, mark2 verosa. Kwa hizi gari ndogo ipi inaimili milima hasa kwa sehemu zenye minuko pamoja na kwa safari mdefu. Maana nataka mwezi ujao niagize ama ninunue dar
 
Hongera mkuu kwa premio umelamba dume in terms of fuel consumption na service costs. Baadhi ya vitu muhimu unapaswa kufanya service kwa wakati yaani 3000kms but muhimu zaidi utumie oil sahihi...japo zipo oil nyingi but to me mogas no oil nzuri ...si vibaya ukaiinua kidogo ili isichakae mapema sababu ya barabara zetu mbovu...either uweke 15" rim na 3/4 spacer kwa stroke 65" tire au 17" rim bila spacer na 55" tire hasa option ya pili premio zinapendeza zaidi...Mara zote hakikisha tair zako zinaupepo wa kutosha na usiendeshee breki...yani tumia breki zako vizuri...kwa ajili ya emergency usikose spana namba 8,10,12 na 14 kwenye gari yako
Meweka tire na rim 17 inch gar imependeza ila tatizo fuel consumption nahis imekuwa juu na pia gar ikigonga shimo haines hvo yaani ni kuu kuu..
 
Tairi umeweka stroke ngapi..maana inabidi uweke high profile 45 ,50 au 55 Ila pia chek shockup kama ziko poa
 
Wakuu naomba kujua ubovu wa brevis, mark2 verosa. Kwa hizi gari ndogo ipi inaimili milima hasa kwa sehemu zenye minuko pamoja na kwa safari mdefu. Maana nataka mwezi ujao niagize ama ninunue dar
Nikushauri go for brevis, ndio nzuri na inayohimili sana.

Kuna mtu nilimuuzia, ina mwaka sasa, anapiga safari zote toka ameinunua hadi sasa.

Ameshazunguka nayo mikoa mingi mno mpaka sasa (maana kazi yake. Inamfanya kuwa mtu wa safari za mara kwa mara)
 
Nikushauri go for brevis, ndio nzuri na inayohimili sana.

Kuna mtu nilimuuzia, ina mwaka sasa, anapiga safari zote toka ameinunua hadi sasa.

Ameshazunguka nayo mikoa mingi mno mpaka sasa (maana kazi yake. Inamfanya kuwa mtu wa safari za mara kwa mara)
Asante mkuu na vipi ulaji wa mafuta kwa safari ndefu?
 
Hongera mkuu kwa premio umelamba dume in terms of fuel consumption na service costs. Baadhi ya vitu muhimu unapaswa kufanya service kwa wakati yaani 3000kms but muhimu zaidi utumie oil sahihi...japo zipo oil nyingi but to me mogas no oil nzuri ...si vibaya ukaiinua kidogo ili isichakae mapema sababu ya barabara zetu mbovu...either uweke 15" rim na 3/4 spacer kwa stroke 65" tire au 17" rim bila spacer na 55" tire hasa option ya pili premio zinapendeza zaidi...Mara zote hakikisha tair zako zinaupepo wa kutosha na usiendeshee breki...yani tumia breki zako vizuri...kwa ajili ya emergency usikose spana namba 8,10,12 na 14 kwenye gari yako
Mkuu, kupandisha gari kwa spacer haju athiri kitu?
 
Wakuu naomba kuuliza nikinunua gari yenye usajiri wa Uganda, nikitaka kubadilisha namba kuweka ya tanzania ni hatua gani ya kufuata. Na kodi zake zikoje. Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
NB ni gari dogo la kutembelea cc1900 na ya mwaka 2007
 
Mkuu, kupandisha gari kwa spacer haju athiri kitu?
Kupandisha kwa spacer kukifanyika kwa kuzingatia utaalamu hakuathiri gani but ukifanya kienyeji gari inakosa alignment na balance na Mara nyingine inapoteza shoo..Mara nyingi kutegemea na gari na aina ya maungio ya miguu kwenye bodi..mfano gari zenye wish bone ukiziinua sana tairi zina bend kurudi ndani kama matege ya zile Datsun pickup za zamani...but kitaalamu fundi atapinda round ya mud guard na height ya tair atajua aweke spacer ya inch ngapi
 
kilamuruzi Mkuu hapo lazma TRA ya uganda (URA) wawe na taarifa ambazo utakuja nazo hadi huku TRA ya Tanzania utawa kabidhi ndiyo waisajili..

Kiswahili ngumu.. Embu pitieni hapa mtoe msaada kwenye tuta... Swahili yenu ngumu kuelezea mshana jr Rondo
 
Back
Top Bottom