ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Watu Daimond Hamjaanza Kumchambua Leo! Toka Miaka 10 nyuma Watu mmemchambua Diamond Kwa Kauli zile zile! So sioni kipyaaaa na Diamond kasema Mkitakaa kukomaa na Hizi I miss u zebu hizo hapo Komaeni nazo
Sio lazima ww ukubari wimbo ndionuwe hit huu wimbo upe leo na Kesho mtondogoo wote humu muauimbaaa mtondogoo wote humu mmesha tuma dedication
Na baada ya wiki 3 ni ngoma nyingine hakuna kulala........
Badirikeni hata kidogo kidogo ilisemwa sijui maneno hayasikiki sijui nini ila hii ni ngoma moja kaliii
Naapa kuja kuleta mrejesho wa huu wimbo after 3 Dayz
Sio lazima ww ukubari wimbo ndionuwe hit huu wimbo upe leo na Kesho mtondogoo wote humu muauimbaaa mtondogoo wote humu mmesha tuma dedication
Na baada ya wiki 3 ni ngoma nyingine hakuna kulala........
Badirikeni hata kidogo kidogo ilisemwa sijui maneno hayasikiki sijui nini ila hii ni ngoma moja kaliii
Naapa kuja kuleta mrejesho wa huu wimbo after 3 Dayz