Recent content by NIC-TECTURE

  1. NIC-TECTURE

    Je, wajerumani ni aliens?

    Na mjerumani kaiga kwa muingereza unakumbuka London Exhibition!
  2. NIC-TECTURE

    Clouds Media wanajiingiza kwa nguvu kwenye siasa?

    Wameanza mda mrefu sana ila wewe umeanza kutambua hilo baada ya kuanza kuisema serikali, chadema walipo kua wanadhihakiwa na wao wali lalamika pia ulikua hujui kama ni siasa ila sasa ndio unaona ni siasa
  3. NIC-TECTURE

    Magufuli afunguka kuhusu mfanyabiashara aliyeiuza Tanzania Uholanzi, kufeli kwa sera yake ya sukari

    Anaongea kwa kulalamika km naye ni mfanya biashara nilitegemea aongee kama mtu mwenye mamlaka ili kujitoa katika huu mkwamo wa mfumuko wa bei hasa chakula
  4. NIC-TECTURE

    Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

    Faiza leo umekuwa mtamu!
  5. NIC-TECTURE

    CHADEMA kinaishi kwa kuvizia skendo

    hizo skendo ndo zitawaingiza ikulu UKAWA maana chama chetu CCM tusipoacha ufisadi hizo hizo kura za anger zitawabeba wapinzani
  6. NIC-TECTURE

    Nape : CCM ndio chama chenye majibu ya matatizo ya wananchi

    kwani nani amebisha! Kwahiyo alitaka majiibu watoe akina nani akat ccm ndo wanaongoza serikali ya mafisgdi
  7. NIC-TECTURE

    Sixtus Mapunda akiwa ziarani wilaya ya Igunga na Nzega

    mbona wazee wote kuna vijana hapo?
  8. NIC-TECTURE

    Kwanini Mbowe na Salum Mwalimu walitumia Vipaza sauti vyenye Rangi ya ACT huko Kigoma?

    hapana walitumia vya rangi ya Mbeya City F.C na sio ACT
  9. NIC-TECTURE

    Edward Lowassa atangaza rasmi mbio zake za urais 2015...

    kupost utumbo haiitaj kufikir, kwan walioba ndo katoa maon au wananch.
  10. NIC-TECTURE

    Edward Lowassa atangaza rasmi mbio zake za urais 2015...

    Ampinga warioba??!' una akili kweli wewe?
  11. NIC-TECTURE

    CCM yaupoteza upinzani Tunduma

    Sasa mpinzani ni nan Tunduma CCM au CDM
  12. NIC-TECTURE

    Lema: Posho si dhambi, dhambi ni posho inapokosa utu

    Amewakimbiza mafisadi wa CCM Arusha hawana tend chao.
  13. NIC-TECTURE

    Nini maana ya kauli hii ya makamu UVCCM Zanzibar?

    kumbe Mbeya. Kigoma, iringa, singida, dar, mwanza n.k ni moshi? Daah akili ndogo!
Back
Top Bottom