Wameanza mda mrefu sana ila wewe umeanza kutambua hilo baada ya kuanza kuisema serikali, chadema walipo kua wanadhihakiwa na wao wali lalamika pia ulikua hujui kama ni siasa ila sasa ndio unaona ni siasa
Anaongea kwa kulalamika km naye ni mfanya biashara nilitegemea aongee kama mtu mwenye mamlaka ili kujitoa katika huu mkwamo wa mfumuko wa bei hasa chakula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.