assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Chama cha siasa makini huandaa Sera na mikakati, kuandaa viongozi imara kuanzia ngazi ya mtaa had I ngazi ya taifa,kujenga ofis imarana kuwalipa viongozi wa ngazi chini ili wasihujumu chama kwanjaa walionayo
.
Pia kutangaza Sera na mikakati mbadala ya kuwafanya wananchi wavutike na wachague wagombea kwa Sera na mikakati.
Aibu kubwa ni kuwa CHADEMA inaiishi kwa matukio. Richmond alishikiabango Dk slaa ss escrow imesaidia kupata baadhi ya wenyeviti wa mitaa na wajumbe. km ulisikiliza kampeni za chadema MTU hasemi Sera ila escrow hivo so kura km umeeleza Sera wananchi wakakubali Bali wanapiga kura kwa anger
.
Ndo maana pamoja na skendo zote growth rate ya chadema ni10%.hivo mpk ifike 51% itachukua 50years.
vivo CHADEMA wanaishi kama fisi pori kusubiri skendo ili iwe manifesto je kusipotokea skendo.??
think critically
Argue don't shout!!!!
.
Pia kutangaza Sera na mikakati mbadala ya kuwafanya wananchi wavutike na wachague wagombea kwa Sera na mikakati.
Aibu kubwa ni kuwa CHADEMA inaiishi kwa matukio. Richmond alishikiabango Dk slaa ss escrow imesaidia kupata baadhi ya wenyeviti wa mitaa na wajumbe. km ulisikiliza kampeni za chadema MTU hasemi Sera ila escrow hivo so kura km umeeleza Sera wananchi wakakubali Bali wanapiga kura kwa anger
.
Ndo maana pamoja na skendo zote growth rate ya chadema ni10%.hivo mpk ifike 51% itachukua 50years.
vivo CHADEMA wanaishi kama fisi pori kusubiri skendo ili iwe manifesto je kusipotokea skendo.??
think critically
Argue don't shout!!!!