Nape ajiandae
Ni katika kanisa la kkkt usharika wa nyumbani kwake monduli. Aweka wazi ndoto za Tanzania anayoitaka na ampinga Warioba kuhusu serikali tatu
Ampinga warioba??!' una akili kweli wewe?
Lowasa akunaga!anasubiri kuapishwa tu.
Ungefafanua zaidi sasa,hiyo nia yake ni ipi?au kulipua mabomu watu?
Wewe mwenye nazo umeleta taarifa gani sasa!
Ccm itazikwa rasmi october 2015 tuandae mahali tu pakuizika amini hivyo .
Wakuu nafatilia habari Channel 10 kuna habari ya mhe. lowasa yupo kanisani huko monduli nimemsikia akiomba watz wamwombee ktk safari yake ngumu kwenye milimani, mabonde na miiba. ila mhe. hajafafanua anaelekea wapi. Kuna mtu anayeweza kunitoa tongotongo mhe.ana safari ya kuelekea wapi?
feelings at work!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us