Ni katika kanisa la kkkt usharika wa nyumbani kwake monduli. Aweka wazi ndoto za Tanzania anayoitaka na ampinga Warioba kuhusu serikali tatu
Wewe mwenye nazo umeleta taarifa gani sasa!
Anazo ndoto nasasa anaota safari ,,nakwenda kuzimu nayo nisafari
Lowassa Lowassa please naomba kwa sasa upumnzike kwani tayari 2015 tayari wewe ni rais weka nguvu kwa ajili ya kujiandaa kuapishwa Mr prezda....walai Membe akipewa Nchi hii naenda kuishi kenya na jinsi nilivyo mjaluo I just cross the border, siwezi kukubali kutawaliwa na weak leader, kiongozi asiwe na hata hulka ya uongozi aende akawe kiongozi ya familia ya Mama salma jamaa akistafu
Lowassa Lowassa please naomba kwa sasa upumnzike kwani tayari 2015 tayari wewe ni rais weka nguvu kwa ajili ya kujiandaa kuapishwa Mr prezda....walai Membe akipewa Nchi hii naenda kuishi kenya na jinsi nilivyo mjaluo I just cross the border, siwezi kukubali kutawaliwa na weak leader, kiongozi asiwe na hata hulka ya uongozi aende akawe kiongozi ya familia ya Mama salma jamaa akistafu
Ni katika kanisa la kkkt usharika wa nyumbani kwake monduli. Aweka wazi ndoto za Tanzania anayoitaka na ampinga Warioba kuhusu serikali tatu
Halafu ana kwenda kinyume na utaratibu wa chama chake huyu Hana tofauti na MM.asubiri panga la Ccm kwa kukiuka utaratibu wa chamakama kweli kasema anampinga mzee Warioba kuhusu serikali 3 basi hana akiri, hayo n maoni ya wananchi sio ya tume ya mzee Warioba
Nimemwona hata Waziri Ole Medeye!
kama kweli kasema anampinga mzee Warioba kuhusu serikali 3 basi hana akiri, hayo n maoni ya wananchi sio ya tume ya mzee Warioba
Wakuu nafatilia habari Channel 10 kuna habari ya mhe. lowasa yupo kanisani huko monduli nimemsikia akiomba watz wamwombee ktk safari yake ngumu kwenye milimani, mabonde na miiba. ila mhe. hajafafanua anaelekea wapi. Kuna mtu anayeweza kunitoa tongotongo mhe.ana safari ya kuelekea wapi?
Ni katika kanisa la kkkt usharika wa nyumbani kwake monduli. Aweka wazi ndoto za Tanzania anayoitaka na ampinga Warioba kuhusu serikali tatu
kupost utumbo haiitaj kufikir, kwan walioba ndo katoa maon au wananch.
Anadai anataka kuona Tz yenye elimu bora tena ya bure, anataka kuona Tz yenye maji safi na salama kwa kila mtz