Jamani nilikuwa nahitaji msaada wa kujua chuo cha ufundi Mikumi nilikuwa nahitaji kujiunga hapo mwakani level three kwa fani ya umeme kwa anayejua naomba anipe taarifa wana anzaga mwezi wa ngapi.
Natanguliza shukrani kama nitapata taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.