Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,177
Kumbe sasa hivi ndio nagundua JF ina watu ambao hawana Magari, Mbwembwe zote zile kumbe kuna watu humu hawana magari.
Halafu ule uzi wa kuponda vibaby walker walikuwa busy sana kudiss.
Kumbe sasa hivi ndio nagundua JF ina watu ambao hawana Magari, Mbwembwe zote zile kumbe kuna watu humu hawana magari.
Gar gani hiiView attachment 647501
Nilikuepug naickiaga tu huu mnyama..baada ya test drive haujawahig kunitoka katika ubongo wangu..nakukusanyia ela..imekua dream car na kuusumbua moyo wangu for 4 month nao..
Vipi wewe maana na mimi ninampango wa kuchukua hilo, ulaji wa mafutaaltezza na namshukuru mungu ninalo full kutamba mtaani
Mwakani lazima nimkalie huyu mnyama kama si mambo ya ujenzi na shule.....!!!Land Rover Range Rover Sports (Overfinch)
Halafu ule uzi wa kuponda vibaby walker walikuwa busy sana kudiss.
Niuzie ilo la ndotoni ubakie na ilo ulilonalo sasaPamoja mkuu ngoja nijichange niwe nayo mawili moja lipo ndotoni moja nataka ninunue.
marlezo yote haya unampa mtoto wa form 4? siku nyingine unampuuza tuuMtu akisema gari la ndoto yake sio lazma awe hana gari..kuna mwengine atataja brevis lets say..unaweza kukuta anatumia vits lakin yupo ktk hatua ya siku aifikie ndoto yake endapo ataimiliki io brevis..na dream car si lazma iwe gari kubwa ya kufikirika..ni gari tu ya matamanio yako.na inaweza ikawa ya bei nafuu tu..sema ni vile unavyofikiria ndoto itimie iwe ktk miliki yako.
yaan mkuu nalipenda sana
Kama hili eh?
Unaweza ukawa na gari ila bado huna gari ya ndoto zako.Nadhani ndio alichomaanisha mleta mada.Kumbe sasa hivi ndio nagundua JF ina watu ambao hawana Magari, Mbwembwe zote zile kumbe kuna watu humu hawana magari.
Mkuu sio kweli kwamba Toyota ndio gari ngumu inategemeana na gari yenyewe Mimi nina Ford bantam na Toyota hilux 2700,hilux ipo home mbeya na Ford ipo Arusha naiamini sana Ford utazunguka nayo maporini huko husikii kugonga gonga kama Toyota ikitoka tuu huko safari lazima ishikwe na mafundi tena...na zote ni za 2006 model...Wengine mnaweka picha tu kwa kuwa imekuvutia muonekano, chagua gari kulingana fit for purpose teh teh teh kuna vitu vingi sana mpaka mtu useme nachagua gari hii ford range kwa kuwa nina factor hii na hii, muwe mnaangalia na geographical factor.... Kwa mfano Toyota was made for Africa maana ni gari ngumu sana