Recent content by ngwasuma

  1. N

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    naomba unitumie mchanganuo wa gharama halisi za ujenzi wa green house. Nitumie kwa anuani hii:jumaa13madame@gmail.com
  2. N

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    tafadhali naomba mchanganuo wa gharama halisi za ujenzi wa greenhouse naomba nitumie kwa email address hii: jumaa13madame@gmail.com
  3. N

    SUMATRA watangaza ongezeko la nauli, kuanza kutumika Tarehe 12 Aprili 2013

    shida ya watanzania wanafikiri kila kitu suluhisho ni kupandisha bei, 2015 itafika tu msijali sana:yo::yo::yo::yo::yo:
  4. N

    Bunge kusitisha kurusha 'LIVE' vikao vyake!

    Hapo inaonyesha ni jinsi gani bunge letu linavyoendeshwa kimabavu. Nia yao ni kuwa wabnafutata yale yanasomwa na wabunge wa upinzani ambayo yanakosoa serikali lakini si dawa watu wataendelea kupaza sauti zao. Yaliyotokea Mtwwara yatasambaa sehemu kubwa ya nchi hii:target:
  5. N

    Mmasai na Toyo yake...tamaduni zinapogongana bwana weee!!!

    kwani yeye hastail kuwa na toyo, acheni hizo :target:
  6. N

    Stricktly don't open!

    si hao watano tu bali ni ukoo wao wate
  7. N

    Mkimpenda mume wa watu mnafanya nini?

    waume wote ni wa watu, huyo wa kwako utampata lini we jurushe naye tu,akitokea anayesema wake muulize alimuumba lini? yeye kama anajue ana mke anakushobokea nini, au ukiona hivyo ujue kuna kitu anakosa ampe aridhike huenda akabaki keako maisha
  8. N

    Kitchen Party Bubu: Nafasi ya mke ndani ya ndoa (Kwa wanawake tu) With Love to You Cheusie

    :director: Hiyo kweli imetulia akina kaka piteni tu haiwahusu. Ila for dadas inatuhusu sote, kama uliolewa zamani unda upya ndoa yako weka mbolea na kupalilia upya. big up mama
  9. N

    Kitchen Party Bubu: Nafasi ya mke ndani ya ndoa (Kwa wanawake tu) With Love to You Cheusie

    :director: Hiyo kweli imetulia akina kaka piteni tu haiwahusu. Ila for dadas inatuhusu sote, kama uliolewa zamani unda upya ndoa yako weka mbolea na kupalilia upya. big up mama
  10. N

    45 things a girl wants, but won't ask for

    :poayes ther it is , smart and to all men
  11. N

    Sababu tano za wanaume wa kabila la kichaga

    Tafakari kabla ya kuandika. Na ukisha write please find mtu wa kuedit kazi yako unazjifedhehesha
  12. N

    A TOUCH STORY ON MARRIAGE......What do we have to learn?

    a very nice story, inafundisha mengi . Binadamu si wakamilifu, tunahitaji werevu na busara kukabiliana na matatizo yanayotukabili. Ufumbuzi wa tatizo ni muhimu sana kuliko kulikimbia
  13. N

    Efraim Kibonde apata ajira NSSF

    una mpango wa kupata kapromosheni ktk nyumba ya kibonde nini , kwani hizo sifa unazompa si stahiki yake au kibonde ana kabint hivyo unataka akupe bure
  14. N

    Kibonde kuhamia Al-Jazeera tv...

    tv ni tv tu awe aljazeera au wapi bado atabaki kuwa kibonde yule yule tunayemfahamu , utulivu zero hongera kaka kaza buti
  15. N

    The Hangover Part II 2011

    :coffee:hata hiyo part 2 haijakaa njema
Back
Top Bottom