huzayma
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 126
- 31
inahitaji kuwa mvumilivu, mana wakati unamuhitaji ndo mkewe kampiga kabali home, ukitoka nae ni wasi wasi utadhani umebeba madawa ya kulevya, ni rahisi kuwapanga hata 10 kila mmoja wenu anaambiwa nyumbani kulikuwa moto ndo hakuweza kutoka, in short ni kichef chef unaweza ukakaa unalia bure kwa mume wa mwenzio otherwise umpate mwanamme mcharuko asoheshimu ndoa yake anytime ukimcall anatoka mbio. pole mwaya waume wenyewe hawa wa Jakaya.?:lol: