Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Huu ni moja ya nyuzi chache zenye taarifa muhimu sana, pamoja na yote dhana ya green house imejengwa kwenye kupata hali ya hewa/mazingira murua kwa ukuaji wa mmea ikijumuisha jua, kiasi cha maji, joto, na udhibiti wa wadudu/magonjwa...

Kwakuzingatia design ya GH yako naomba uniondolee shaka kwenye udhibiti wa joto na wadudu.
Salaam

Ndugu jibu lipo kwenye page ya kwanza ya uzi huu. Lets read up a bit
 
Nami naomba nitumie mchanganuo kwenye zuenachanzi@gmail.com[EMAIL="gmail.com@gmail.com/* <![CDATA[ */(function(){try{var s,a,i,j,r,c,l,b=document.getElementsByTagName(&quot;script&quot;);l=b[b.length-1].previousSibling;a=l.getAttribute('data-cfemail');if(a){s='';r=parseInt(a.substr(0,2),16);for(j=2;a.length-j;j+=2){c=parseInt(a.substr(j,2),16)^r;s+=String.fromCharCode(c);}s=document.createTextNode(s);l.parentNode.replaceChild(s,l);}}catch(e){}})();/* ]]> */"][/EMAIL]
 
Ndugu jibu lipo kwenye page ya kwanza ya uzi huu. Lets read up a bit

nilipitia kote na nikaona hivyo havijagusiwa kwa undani, nikafikiri unaweza nipa uzoefu wako, kwa mfano, mosi GH lililopo pwani wakati wa jua kali kama linapita joto la 40c?

Pili upepo na baadhi ya wadudu kama nyuki na jamii yake wanahitajika kwa ajili ya pollination hii inafanyika vipi kwenye mazingira yaliyozuia upepo na wadudu hao?
Pia nimeona mkuu mmoja katoa mfano wa GH kwa wenzetu wa Uganda ambapo tatizo linaweza kuwa nematodes au virus wanaoshambulia Nyanya hivyo ningependa kufahamu kwa uzoefu wako jinsi unavyowadhibiti.
 
nilipitia kote na nikaona hivyo havijagusiwa kwa undani, nikafikiri unaweza nipa uzoefu wako, kwa mfano, mosi GH lililopo pwani wakati wa jua kali kama linapita joto la 40c?

Pili upepo na baadhi ya wadudu kama nyuki na jamii yake wanahitajika kwa ajili ya pollination hii inafanyika vipi kwenye mazingira yaliyozuia upepo na wadudu hao?
Pia nimeona mkuu mmoja katoa mfano wa GH kwa wenzetu wa Uganda ambapo tatizo linaweza kuwa nematodes au virus wanaoshambulia Nyanya hivyo ningependa kufahamu kwa uzoefu wako jinsi unavyowadhibiti.

Kila eneo lina material yake ya ujenzi kulingana na hali ya hewa ya eneo husika. Mf kigoma itafunikwa na poly covers tofauti na zitakazofunika arusha au dar. Mbegu tunazopanda ni self pollinating, sio lazima zisaidiwe na wadudu. Pia kuna mbinu na kuongeza kasi ya uchavushaji tutakufundisha utakapofungiwa greenhouse nasi. Kuna baadhi ya mambo katika kilimo ni more practical, mpaka uwe na greenhouse ndio tutaelewana. Nematodes na bacteria sio tatizo kama unafahamu jinsi ya kujikinga. Virus hawana dawa ila kuna kinga za kusaidia kupunguza maambukizi. Iwapo yatatokea kuna mbinu mbadala za kilimo tutakuelekeza.
 
Kila eneo lima material yake ya ujenzi kulingana na hali ya hewa ya eneo husika. Mf kigoma itafunikwa na poly covers tofauti na zitakazofunika arusha au dar. Mbegu tunazopanda ni self pollinating, sio lazima zisaidiwe na wadudu. Pia kuna mbinu na kuongeza kasi ya uchavushaji tutakufundisha utakapofungiwa greenhouse nasi. Kuna baadhi ya biyu katika kilimo ni more practical, mpaka uwe na greenhouse ndio tutaelewana. Nematodes na bacteria sio tatizo kama unafahamu jinsi ya kujikinga. Virus hawana dawa ila kuna kinga za kusaidia kupunguza maambukizi. Iwapo yatatokea kuna mbinu mbadala za kilima tutakuelekeza.

nimekupata mkuu,
mia.
 
Kilichonifanya nianzishe hii project ni baada ya kwenda balton na kuambiwa gharama ni 6.2m without tax, nikatafuta supplier wa material na kuanza kujenga mwenyewe. nimefanikiwa kupunguza gharama kwa asilimia 50. Pia greenhouse inaguarantee ya kuishi miaka 10.

Nb: usitumie miche iliyotoka open field kuilima kwenye greenhouse. the whole concept of a controlled enviroment itakuwa haipo. utahamisha worms na backteria kutoka nje uwalete kwenye greenhouse yako ukose kupata mafanikio tarajiwa.
Hakikisha unakuza miche kwa kutumia nursery set maalumu na udongo maalumu (potting mix) ndani ya greenhouse. kwa kufanya hivi utakuwa na uhakika asilimia 100 ,miche yako iko salama.

Karibu sana.
Hizo gharama ni kubwa mno. Green house zenywe zinaonekana cheap made na material.



The king.
 
Kila eneo lima material yake ya ujenzi kulingana na hali ya hewa ya eneo husika. Mf kigoma itafunikwa na poly covers tofauti na zitakazofunika arusha au dar. Mbegu tunazopanda ni self pollinating, sio lazima zisaidiwe na wadudu. Pia kuna mbinu na kuongeza kasi ya uchavushaji tutakufundisha utakapofungiwa greenhouse nasi. Kuna baadhi ya biyu katika kilimo ni more practical, mpaka uwe na greenhouse ndio tutaelewana. Nematodes na bacteria sio tatizo kama unafahamu jinsi ya kujikinga. Virus hawana dawa ila kuna kinga za kusaidia kupunguza maambukizi. Iwapo yatatokea kuna mbinu mbadala za kilima tutakuelekeza.

GreenHouse kweli hubahatishi..
Jamaa kauliza maswali mazuri umetoa majibu mazuri...
Nimependa hapo "Iwapo Itatokea"...
 
Nauza Materials na kusadia ujenzi wa Greenhouse za ukubwa mbali mbali.

Kwa sasa Nina materials zinazoweza kucover greenhouse ya ukubwa wa mita nane kwa mita kumi na tano (8x15m), Zina uwezo wa kuzuia jua, kuzuia wadudu na vihatarishi mbali mbali vya mazao.

Bei ni Mil2.5 kwa materials pekeyake yaani 1/8 of an ancre drip lines, Polythene Cover (UV400 Protected sheets), 70% Micron insect Netting...Hizi zitakuwezesha kujenga Greenhouse yako bila matatizo. Kitakachohitajika kutoka kwako ni Wooden Poles (nguzo kama zinazojengewa baa za makuti nk), tanki la lita 500 la maji na maji ya uhakika.

Ntakupatia mafundi na muongozo mzima wa kujenga greehouse yako ili kufanikiwa.

Faida za kulima katika greenhouse ni nyingi mno, ikiwemo matumizi mazuri na sahihi ya ardhi, kwani kiwanja cha ukubwa wa mita 8x15 kinaweza kukupa Nyanya hadi Tani 30 kwa mwaka, Pilipili hoho tani 20 kwa mwaka na mazao mengine mengi yanayolimwa katika controlled environment.

Kuna wataalamu wa kutosha hivi sasa hapa Dar Es Salaam wanaoweza kukupa muongozo, mbegu bora na fertilizers za uhakika.. Tuwasiliane kwa simu namba 0714881500 ili kupeana muongozo.

Karibuni sana.
Ili uweze kufanikiwa katika kilimo hiki, unahitaji maji ya uhakika minimum lita 200 kwa siku kwa ajili ya kumwagilia nyanya kwa matone, Nitakupatia mabomba (driplines) zitakazokuwezesha kufanikisha hili.

NB: Kumbuka Greenhouse inajengwa kwenye eneo lililo wazi, lisilo na miti mirefu inayozuia jua...

Pia ni Muhimu kufanya Soil Test na Water Test ili ujue ni kipi unahitaji kuongeza kwenye ardhi yako ili upate mazao ya uhakika... Naweza kukusaidia kufanya soil na water test kwa gharama nafuu kabisa kutoka nchi ya Jirani (kenya). Gharama ni 250,000 kwa huduma hii pekeyake (Complete Soil analysis & Water Test).

NB::: UJENZI WA GREENHOUSE YA MFANO UMEKAMILIKA. IPO MIKWAMBE KIGAMBONI::: KARIBUNI SANA.

View attachment 140539 View attachment 140540 View attachment 140541 View attachment 140542 View attachment 140543 View attachment 140547

Kuna watu wengi sana wamenipigia na kuomba niwasaidie kufanya mchakato wa kuandika mchanganuo wa kuomba mkopo bank (bankable business plans and proposals) au taasisi za fedha ili wafanikishe mradi huu.

Habari njema ni kwamba, tumeingia makubaliano maalumu na kampuni moja hapa nchini (Biznocrats consulting enterprise) inayojihusisha na kuandika michanganuo ya kibiashara, ushauri wa kifedha, accounts nk na wamekubali kuwaandikia wateja wetu wote michanganuo hiyo kwa gharama ya asilimia moja tu (1%) ya mkopo Minimum 500,000 na wanakuhakikishia hautokosa mkopo wa aina yoyote.

Kama unahitaji huduma hii, tuwasiliane ili tuweze kufanikisha hili pamoja.

Karibuni sana.

Niaa kupata mail yako. Ya kwangu ni eliphasy@gmail.com
 
Nauza Materials na kusadia ujenzi wa Greenhouse za ukubwa mbali mbali.

Kwa sasa Nina materials zinazoweza kucover greenhouse ya ukubwa wa mita nane kwa mita kumi na tano (8x15m), Zina uwezo wa kuzuia jua, kuzuia wadudu na vihatarishi mbali mbali vya mazao.

Bei ni Mil2.5 kwa materials pekeyake yaani 1/8 of an ancre drip lines, Polythene Cover (UV400 Protected sheets), 70% Micron insect Netting...Hizi zitakuwezesha kujenga Greenhouse yako bila matatizo. Kitakachohitajika kutoka kwako ni Wooden Poles (nguzo kama zinazojengewa baa za makuti nk), tanki la lita 500 la maji na maji ya uhakika.

Ntakupatia mafundi na muongozo mzima wa kujenga greehouse yako ili kufanikiwa.

Faida za kulima katika greenhouse ni nyingi mno, ikiwemo matumizi mazuri na sahihi ya ardhi, kwani kiwanja cha ukubwa wa mita 8x15 kinaweza kukupa Nyanya hadi Tani 30 kwa mwaka, Pilipili hoho tani 20 kwa mwaka na mazao mengine mengi yanayolimwa katika controlled environment.

Kuna wataalamu wa kutosha hivi sasa hapa Dar Es Salaam wanaoweza kukupa muongozo, mbegu bora na fertilizers za uhakika.. Tuwasiliane kwa simu namba 0714881500 ili kupeana muongozo.

Karibuni sana.
Ili uweze kufanikiwa katika kilimo hiki, unahitaji maji ya uhakika minimum lita 200 kwa siku kwa ajili ya kumwagilia nyanya kwa matone, Nitakupatia mabomba (driplines) zitakazokuwezesha kufanikisha hili.

NB: Kumbuka Greenhouse inajengwa kwenye eneo lililo wazi, lisilo na miti mirefu inayozuia jua...

Pia ni Muhimu kufanya Soil Test na Water Test ili ujue ni kipi unahitaji kuongeza kwenye ardhi yako ili upate mazao ya uhakika... Naweza kukusaidia kufanya soil na water test kwa gharama nafuu kabisa kutoka nchi ya Jirani (kenya). Gharama ni 250,000 kwa huduma hii pekeyake (Complete Soil analysis & Water Test).

NB::: UJENZI WA GREENHOUSE YA MFANO UMEKAMILIKA. IPO MIKWAMBE KIGAMBONI::: KARIBUNI SANA.

View attachment 140539 View attachment 140540 View attachment 140541 View attachment 140542 View attachment 140543 View attachment 140547

Kuna watu wengi sana wamenipigia na kuomba niwasaidie kufanya mchakato wa kuandika mchanganuo wa kuomba mkopo bank (bankable business plans and proposals) au taasisi za fedha ili wafanikishe mradi huu.

Habari njema ni kwamba, tumeingia makubaliano maalumu na kampuni moja hapa nchini (Biznocrats consulting enterprise) inayojihusisha na kuandika michanganuo ya kibiashara, ushauri wa kifedha, accounts nk na wamekubali kuwaandikia wateja wetu wote michanganuo hiyo kwa gharama ya asilimia moja tu (1%) ya mkopo Minimum 500,000 na wanakuhakikishia hautokosa mkopo wa aina yoyote.

Kama unahitaji huduma hii, tuwasiliane ili tuweze kufanikisha hili pamoja.

Karibuni sana.
Greenhoue a vtunguu nayo inapatikana?
 
mkuu habari nlikua nahitaji mchanganuo wa project nzima ya green house ikiwezekana nije sight nione.pole kwa usumbufu
 
naomba unitumie mchanganuo wa gharama halisi za ujenzi wa green house. Nitumie kwa anuani hii:jumaa13madame@gmail.com
 
Mi nataka drip line za nusu heka,zinaghalimu bei gani bila tenki bila ufundii? Tenki ninalo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom