Mawe yanayo tupwa humu juu ya jiji la mbeya kuwa kijiji kilicho changamka ni sawa. ila hili la wanaume wa dar kuitwa na mwanaume mwenzenu kwa kiingilio cha cha pesa na kufundishwa mambo ambayo hata yeye hayawezi itoshe tu kusema mbeya wanaume hatuwezi huu upuuzi zaidi itoshe kuamini maandiko...
Nilipata wasaa wa kudodosa juu ya hili jambo hawa jamaa imani yao ipo kwenye mali wanayo iina na kuisimamia on the spot yaani mfano duka awe anauza na pesa yake anaipata papo kwa hapo hawaamini kwenye gari iende dar ma kurudi ndipo ilete pesa wengi wao wanasema NO. Ndiyo maana wamejikita sanaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.