Nadhani hiyo kampuni ya startimes ndio makubaliano yao ya kuwa " subscription ikiisha basi unaruhusiwa kuendelea kutizama channel inayomilikiwa na serikali."
Nasema hivi maana hata huku +254 wanatuachia KBC na guide".
Bure kabisa!
Pole sana kwa mkasa. Nasikitika siwezi kukishauri ufanye hili wala lile. Wengi watakupea ushauri wa kumwacha na kumbe wao wanaishi na watoto wasiokuwa wao pengine hawajui.
Ukiona hadi mimba katungwa basi haikuwa jambo la mara moja.
Hao ni wapenzi tayari. Na huyo njemba labda kashajulishwa...
Kuna kisa chochote mtu aliwahi sikia au kuambiwa kutokea ughaibuni cha watu kusakamana?
Hapa hakuna cha sayansi wala nini.... Uchawi tu.
Huwa ni jini linakuvuta huko ndani.. 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.