Asante sana mkuu, naomba kama una zile zingine kwenye album yao hiyo utuwekee hapa, mfano Harusi tatu, kama ningefahamu siku, ba nyinginezo. Nitashukuru sana
Chuo cha uhazili, Tabora
Chuo cha ardhi, Tabora
Chuo cha ualimu Ndala, Tabora
Chuo kishiriki Saut, Tabora
Chuo cha ufundi veta, Tabora
Na ufugaji nyuki pia.
Nafikiri serikali imefanya mengi kupandisha elimu na kuwapa morali watu wa Tabora kuliko baadhi ya mikoa mingine.
Umwinyi ni tatizo kuu.
Unagomaje chuoni kwa kuvunja milango. Huo ni ujinga uliopitiliza. Tuligoma sana hata sisi pia, lakini hatukuvunja milango, migomo inaanzia revo square au nkhuruma hapo. Au jkt walifundishwa haya???
Soln:
From the formula S=0.5(2A1+d(n-1))n
where A1= the first term of the arithmetic progression
d= common differnce of the arithmetic progression
n= number of the terms of the progression and
S=...
Kijana namfahamu vizuri, hivi sasa ni mwenyekiti bavicha jimbo la ubungo na amechangia sana kunyakua viti vingi serikali za mitaa huko sumve katika uchaguzi uliopita. Kama ni sifa tu anazo za kupitiliza. Inahitajika umoja wa wanaukawa wa sumve ili kumuondoa Ndasa kwa vyovyote vile na yoyote...
Hizi kauli za kuhisi wasukuma walikuwa wamelalaa si sahihi mkuu. Nakumbuka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995, John Cheyo alishinda ubunge huko bariadi mkoani shinyanga wakati huo, wakati huohuo mkio mnayofikiri imeamka kama arusha na mbeya hawakuwa na mbunge hata mmoja wa upinzani. Na bado...
Karibuni kwenye website ya UDSM kuona wote walioshaguliwa kwa undergraduate mwaka 2014/2015.
sasa vijana kazi ni moja tu kusoma kwa bidii.
Hongereni mliochaguliwa
The following applicants have been selected to join various undergraduate degree programmes for the 2014/2015 academic year. The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.