hapo inaonekana baba ambaye ni EL kamwita binti yake Fatuma kinyemela na kumkubali na kisha kumpa maelekezo ya kwenda kwa media kuomba radhi. Kwahiyo Makonda kamsaidia binti Fatuma kutambuliwa na baba yake
Mbowe kumbe umri umekwenda kidevu choote mvii, akikaa ndani kama miezi minne kama Lema alivokaa atakuwa msikivu na angalau anaweza kabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine
duh fanya yako ndugu yetu, kama zile ekari zako 10 za mipapai ziko vizuri tayari na muda unao ongeza ekari 10 zingine. Haya mambo ya makesi mahakamani na magari yao mabovu ya kubebea wafungwa waachie wanasiasa, ww fanya kazi tu upige pesa
sio kweli, tatizo wanawake wanataka ndoa lakini kutimiza majukumu ya ndoa hawayawezi, wakishakuwa kwenye ndoa wasumbufu na sio wavumilivu na sio waaminifu, kwa hiyo wanaume wanaamua bora kununua huduma kuliko kuweka ndani moja kwa moja ni bora wanaume tununue pale tunapohitaji huduma.
mwache akany*e debe na yeye maana amekuwa hodari wa kuwasakizia wenzi wake na yeye ku escape sasa safari hii kaingia kwenye anga za mahabusu, mwache akae sero tu mbona tundulisu na lema na lijualikali wamekaa mahabusu bila taabu
sio kweli, cctv kwenye ma gest zinawekwa mwisho kwenye makorido mlangoni ila ndani ya vyumba cctv camera haziwekwi na hawaruhusiwi kuweka, labda kama kuna mhudumu mtundu ni yeye binafsi anaweza kuwa na camera binafsi akategesha ili ale chabo na akijulikana lazima afukuzwe kazi na mwenye hoteli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.