Ujinga mlioufanya kusababisha maisha ya erick ngwengwe kua mashakani na ujinga mliofanya kuwahonga kina wambura mnazani na Yanga inafanya hayo
Tutachanga tu hakuna waswas na tunajua mtaiga tu si mda mrefu. Tulikua tunasubir kwa hamu huu utaratibuYaani kwa taarifa shallow hivi na utapeli uliopo, kweli watu wa Yanga watachangia? Ngoja tuone!
Sasa pesa yenyewe ya kula huna nani akuombe mchango wako...hii ni mahususi kwa wanachama wa Yanga na mashabiki wa YANGA we mbumbumbu hii haikuhusuHuu ni ujinga sana wanashindwa kusimamia mapato yao wa nataka tuwachangie wakanunue mechi,mpira biashara sasa hizo ndimu za ovyo sana mm siwezi wachangiq hata mia
Mkuu sichangishi Mimi ,kazi yangu Mimi kama mwanachama wa Yanga ni kuhamasisha watu wachangie...wanachangisha Yanga kupitia mtandao wa selcomwewe balili ni verified user? jambo kubwa kama hili mchangishaji ukae nyuma ya pazia, hatukuelewi
Wewe acha uoga bana. Cheza mpira acha maneno.Huu ni ujinga sana wanashindwa kusimamia mapato yao wa nataka tuwachangie wakanunue mechi,mpira biashara sasa hizo ndimu za ovyo sana mm siwezi wachangiq hata mia
JINSI YA KUICHANGIA KLABU YETU.
VODACOM M-PESA.
1.Piga *150*00#
2.Chagua 4 - Lipa kwa M- Pesa.
3. Chagua 4- Ingiza namba (123123)
4. Weka Kumbukumbu Namba (150334)
5. Weka Kiasi.
6. weka namba ya siri.
7. Utapata ujumbe wa uthibitisho.
TIGO PESA.
1. Piga *150*01#
2. Chagua namba 6 (Huduma za kifedha)
3. Chagua namba 5 (Selcom Pay).
4. Ingiza namba ya Malipo (150334).
5. Weka kiasi.
6. Ingiza namba ya siri.
7. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
AIRTEL MONEY.
1. piga *150*60#
2. Chagua namba 5( Fanya Malipo)
3.Chagua namba 2 ( Uchaguzi wa biashara)
4.Chagua namba 3 (Manunuzi)
5. Chagua namba 3 (Selcom)
6. Weka kiasi.
7.Ingiza namba ya malipo (150334)
8.Weka namba ya siri.
9. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
UKIFANYA HIVO UTAKUWA UMEICHANGIA KLABU YAKO, HONGERA SANA MWANANCHI! PIA ITAKUWA VEMA UKITUONESHA UJUMBE WAKO HAPA WA MALIPO. . PIA WAHAMASISHE NA WENGINE KUCHANGIA.
JINSI YA KUICHANGIA KLABU YETU.
VODACOM M-PESA.
1.Piga *150*00#
2.Chagua 4 - Lipa kwa M- Pesa.
3. Chagua 4- Ingiza namba (123123)
4. Weka Kumbukumbu Namba (150334)
5. Weka Kiasi.
6. weka namba ya siri.
7. Utapata ujumbe wa uthibitisho.
TIGO PESA.
1. Piga *150*01#
2. Chagua namba 6 (Huduma za kifedha)
3. Chagua namba 5 (Selcom Pay).
4. Ingiza namba ya Malipo (150334).
5. Weka kiasi.
6. Ingiza namba ya siri.
7. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
AIRTEL MONEY.
1. piga *150*60#
2. Chagua namba 5( Fanya Malipo)
3.Chagua namba 2 ( Uchaguzi wa biashara)
4.Chagua namba 3 (Manunuzi)
5. Chagua namba 3 (Selcom)
6. Weka kiasi.
7.Ingiza namba ya malipo (150334)
8.Weka namba ya siri.
9. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.
UKIFANYA HIVO UTAKUWA UMEICHANGIA KLABU YAKO, HONGERA SANA MWANANCHI! PIA ITAKUWA VEMA UKITUONESHA UJUMBE WAKO HAPA WA MALIPO. . PIA WAHAMASISHE NA WENGINE KUCHANGIA.
Hivyo vitu vipo sema viongozi wanahujumu sababu ni club ya wanachama. Hapo cha kufanya ni kuweka mfumo wa kampuni. Mtu akinunua Hisa zake kama alivyofanya Mo hawezi kubali kuibiwa kipuuzipuuzi.mie nilishawahi kuwaambia mtengeneze vitu vyenu,fans club yenu t-shirts,mikoba,saa etc muuze,hivi mnadhania kuna mtanzania atatoa hela yake hivi hivi,hatuna utamaduni huo labda kwenye harusi,lol