Recent content by Ngosha Kogema

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Asante Mkulima kwa mawazo, naku-pm ili tuwasiliane zaidi.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Habari wakuu! Naomba ushauri juu ya ufugaji wa samaki, uandaaji wa bwawa na upatikanaji wa chakula. Pia nifahamishwe utunzaji wa bwawa hasa maji je hubadilishwa? Sehemu ya kichanga je yafaa kwa bwawa? Gharama za uandaaji bwawa zipoje? Hasa bwawa la kuhifadhi samaki walau 3000 hadi 5000 hivi...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Mwenge-Moshi wamesimamishwa Masomo kwa sababu za kiimani!

    Wewe utakuwa huna utafiti wa kutosha! Wakatoliki hawana ubaguzi na wangebagua basi wasomi wengi wangekuwa wakatoliki! Kwa mf. Loyola inachukua madhehebu yote na dini zote, Marian, Msalato, kwa kutaja chache tu na kwa vyuo ikumbukwe vyuo vingi tanganyika na Tanzania ya sasa ni vya kikatoliki na...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Question- wasukuma and Love relations

    Anaetaka msukuma karibu! Maraha mengi sana usukumani.......
  5. N

    JamiiForums Tanzania Tembo aua Majangili wawili Mikumi

    Hongera sana TEmbo shujaa, aendelea kutoa ulinzi huo!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Karaha ya kuwadai waliokukopa

    Yani hii kitu mbaya sana watu hawana ustarabu ndo maana. Ni kweli mdeni anaweza kuwa na sababu ya msingi tu ya kutolipa kwa muda ila kinachomfanya awe mngwana na mstarabu ni kutoa taarifa kuwa kakwama hapo ndo wengi hushindwa kuwa waaminifu...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Unaweza usiamini macho na masikio yako.

    Hili chizi kweli......
  8. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la maaskofu katoliki (TEC) limbane Polycarp Pengo kuhusu anavyokataa Serikali tatu

    Mi sioni kama Mwadhama Kadinali Pengo ile kauli alitoa kwa niaba ya kanisa katoliki bali aliitoa kama raia binafsi na hata ktk baraza la maaskofu katoliki si wote wanaotaka serikali tatu Bali ni katika maoni yao kura nyingi ziliangukia kwa wanaodai serikali tatu na kwa wale wenye mawazo tofauti...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Hii hata kipofu ataona nini kinaendelea! Acha wacheze rafu halafu wakikosa urais 2015 patakuwa patamu maana utakuwa muda wa kulia na kusaga meno kwa magamba....ngoja tusubiri tuone!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ya mkeo tamu safi na ina ladha

    Wanawake ni wengi hvo wanategemea wanaume haohao waliooa. Pia mnakumbuka bwana mmoja aliemkata mkono mkewe alipomnyima papuchi alipokuwa kwenye siku zake? Mwanamke baada ya kulazimishwa na jamaa ampe hvohvo mke ikabidi ampe ruksa jamaa akatafute wa kugegeda nje ila jamaa hakuafiki kwa sababu...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    Hakuna kipya...ni yaleyale tu, ngoja tusubilie....
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa upi unalipa?

    Wakuu, katika harakati za kujikwamua kiuchumi nimeshawishika kuanzisha ufugaji wa kuku. Naomba mawazo yenu juu ya gharama za kuwahudumia kuku wa kienyeji na wale wa kisasa ipoje? Pia hatari ya kupata magonjwa ni kuku wepi wanastahimili? Na kwa wale wanaofuga tayari nitafurahi mkiniPM ili niweze...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Waziri Maghembe: "TANESCO, ukiritimba too much"

    Habari wanaJF! Kuna kero tumekuwa nayo toka mwezi wa 10/2013 hasa wakazi wa Tungi na Tubuyu hapa Morogoro mjini ya kutokuunganishiwa umeme ilihali tulishalipishwa Sh. 320,000/- ikiwa ni gharama ya kuunganishiwa umeme tangu wakati huo. Cha ajabu mpaka sasa tunaambiwa Hakuna nyaya lakini tayari...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Mkuu mbona umetoa taarifa jujuu sana? Hebu iweke vizuri...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa sugu wa kinadada uwe na gari zuri, hautongozi wanakuja tu

    Hii imekaa sawa....na zaidi mkoko uwe na mziki mnene dah kukimbiliwa na dadaz sana Kama kaomba lift umuache magomeni usalama utasikia anakuambia basi twende tu hadi posta!
Back
Top Bottom