Tehe.... Tehe..... Tehe.... Tehe..
Nimecheka mstari mmoja kwenye uzi wako unaosema hivi....... Nanukuu
"vinginevyo serikali yako ITAONEKANA inateka na kuuwa watu"
Tehe.... Tehe..... Tehe eti itaonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah... Wale Tabora Boys walikua waoga Sana mbele Ya Milambo men....
Yaani wakikutana Boys, Girls na Milambo men Boys wanakimbia wanawaachia men mademu..
Hasa kipindi cha mashindano Ya michezo Mwinyi stadium.
Wale madem Wa Tabora girls walikua wanawapenda Sana Milambo kwa sababu hawakua...
Kwa situation ilivyofikia Ni kwamba Walisema hata upinzani wangeliweka mawe dhidi Ya mgombea Wa ccm Ni kwamba kura zingepigiwa kwa mawe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi TBC imenivunjia Tv zangu flat karibia saba hivi..
Yaani mwanangu akirudi shuleni akikuta House girl kaweka hiyo Chanel anakasirika anashindwa kuzima kwa kutumia remote anajikuta anaenda kung'ofoa waya ukutani kwa hasira.
Sasa ile inapelekea TV kudondoka na kupasua. Kwa vile najua uchungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.