Hali sio mbaya kama inavyoenezwa kwenye mitandao!!

Charliemic

JF-Expert Member
Feb 17, 2019
585
919
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!

Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methodology )

Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
 
Wewe ndo mbumbumbu kabisa

1. CAG Amefanya kazi kwa data nchi mzima

2. IMF niwachumi waliobobea na International Monetary Fund sio chama cha mchiriku

3. Bandiko lako jeupee halina research information or proved beyond reasonable doubt data

Kweli wajinga Tanzania mnatuaibisha sana.
 
Wiki iliyopita nimepigiwa simu na ndugu zaidi ya kumi wanaomba msaada maisha magumu, kukaa nje kote miaka zaidi ya kumi jambo hili halijawahi tokea.

Yaani CAG, IMF, mtaani kampuni zinazofungwa, kote kuna evidence za kutosha alafu we unakuja na analysis yako bila hata kauchunguzi kidogo. Watu mna matatizo ya akili labda ushamba unakusumbua
 
Wewe ndo mbumbumbu kabisa

1. CAG Amefanya kazi kwa data nchi mzima

2. IMF niwachumi waliobobea na International Monetary Fund sio chama cha mchiriku

3. Bandiko lako jeupee halina research information or proved beyond reasonable doubt data

Kweli wajinga Tanzania mnatuaibisha sana.

Anadhani IMF ni sawa na wenye PhD feki wa buku saba.
 
Unajua usiwafanye watanzania wajinga, angalia sana usipandishe hasira za watu tukaanza kuuombea ufe haraka, au upatwe na magonjwa ya kutisha.
Acha dharau zako, hayo mambo waambie familia yako na waliokutuma.
Hasira zote za maisha magumu ya watanzania ziwe juu yako.
 
Kweli mkuu hali sio mbaya kwa cooking data.
IMG_20190307_012831.jpeg
 
Mimi niko huko kwenye serikali yako unayoiamini. Sijui research umefanya mtaani kwenu tu au vijijini. Au umefanya dar tu basi unakuja na conclusion kuwa mitaa yote iko hivyo.
Kiukweli mzunguko wa pesa ume tight.. hali ni ngumu ni kweli.. na hii huwez i feel effectnyake. Kama bado unaishi kwa wazazi..kwa shemeji.. au kwa ndugu zako..
Kama bado unaishi hostel au hujaoa.
 
Na mimi Napigia mstari 'hali sio mbaya kama inavyoelezwa kwenye mitandao' NI KWELI KABISA....! wanaolalama ni wale waliokuwa wapiga dili ambao hawataki tena kwa makusudi kutumia fursa kujitafutia riziki halali..!

Mbumbumbu mpo wengi
 
Wewe ndo mbumbumbu kabisa

1. CAG Amefanya kazi kwa data nchi mzima

2. IMF niwachumi waliobobea na International Monetary Fund sio chama cha mchiriku

3. Bandiko lako jeupee halina research information or proved beyond reasonable doubt data

Kweli wajinga Tanzania mnatuaibisha sana.
Ha ha ha haaa ... Kuna mijitu akiririshwa yni hata uliuwe halielewei
 
HahahahahahahahHah wapi huko hali nzuri ....shwaini zamani tulikua tukiomba laki tatu hatuulizwi ya nini tunaulizwa iende bank au kwenye simu ni kusema tu iende wapi ....sikuhizi ukiomba hiyo unaitwa katili mchuna ngozi na kila jina baya ...hii maana yake vyuma vimekaza ...huo ni utafiti wangu
 
HahahahahahahahHah wapi huko hali nzuri ....shwaini zamani tulikua tukiomba laki tatu hatuulizwi ya nini tunaulizwa iende bank au kwenye simu ni kusema tu iende wapi ....sikuhizi ukiomba hiyo unaitwa katili mchuna ngozi na kila jina baya ...hii maana yake vyuma vimekaza ...huo ni utafiti wangu
Hebu niombe na mm, hahaha
 
Mm niko huko kwenye serikali yako unayoiamini. Sijui research umefanya mtaani kwenu tu au vijijini. Au umefanya dar tu basi unakuja na conclusion kuwa mitaa yote iko hivyo.
Kiukweli mzunguko wa pesa ume tight.. hali ni ngumu ni kweli.. na hii huwez i feel effectnyake. Kama bado unaishi kwa wazazi..kwa shemeji.. au kwa ndugu zako..
Kama bado unaishi hostel au hujaoa.
Nyingi ni propaganda tu, hakuna sehemu ambapo watu wanalipwa bila kufanya kazi
 
Heshima kwenu Wanajamvi! Heri ya Pasaka kwenu wote mnaosherekea!!

Wapendwa baada ya kuwa nimeona kwenye mitandao malalamiko ya hali mbaya, nikaamua nifanye kautafiti kadogo japo sio rasmi ( usiniulize habari ya sampling au methods)

Kwenye mitandao ya kijamii wanaondesha propaganda ni kijikundi cha watu wachache ambao hata 50 hawafiki!! Hata majina naweza kuyataja!! Uhalisia mtaani maisha yapo vzr watu wanapiga kazi. Hakuna malalamiko ambayo tunayaona mitandaoni!
Naishauri Serikali isiingie kwenye mtego wa propaganda za ripoti sijui iwe ya IMF, au ya CAG. Hizi ni propaganda za kuichafua Serikalini yetu pendwa
ndugu zako wangapi wanatumia mitandao ya jamii!!anzia hapo
 
Mkuu hizi report haziko realistic, ni ripoti za kupikwa kwa lengo la kucreate tension, kuwafanya wananchi wakate tamaa na kuichukia Serikali yao, maeneo mengi zinasababisha Machafuko
Wewe ndo mbumbumbu kabisa

1. CAG Amefanya kazi kwa data nchi mzima

2. IMF niwachumi waliobobea na International Monetary Fund sio chama cha mchiriku

3. Bandiko lako jeupee halina research information or proved beyond reasonable doubt data

Kweli wajinga Tanzania mnatuaibisha sana.
H
 
Back
Top Bottom