Ungekuwa muungwana ungesema tu kwamba; 'kutokana na kubadilika kwa utaratibu wa Serikali wa kutoa mMikopo ya Elimu, sikubahatika kuupata ingawaje awali ilikuwa nipate'. Hayo ndo maneno ya mtu anayeomba mawazo au msaada na siyo kutumia lugha ya kashfa.
Nasita sana kukusaidia manake inaonekana...
Huyu ni mhujumu uchumi. Hana uzalendo na nchi yake. Anastahili kupigwa marufuku asijihusishe kamwe na biashara ya utalii. Hata kama alipanga kufanya utani, hawezi kuruhusiwa kufanyia mzaha maslahi ya nchi! ... NEVER.
Maziwa yanapatikana fresh, hayajaongezwa hata tone la maji. Yanakamuliwa na watu wasafi.
Tupo Kiromo Bagamoyo. Lita 2 asubuhi na 2 jioni. Karibuni mpate lishe bora. PM PSE.
Nimetafakari saaana, nikitilia maanani aibu inayoendelea kukiandama chama kwa kuendelea kupanga uchochoroni miaka yote wakati ruzuku tunavuta, nikaona pengine madiwani wetu wa Arusha watakuwa wameokoa jahazi kwa kutupatia hii plot tutupie hapo kitu cha maana ili chama kiwe na nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.