Arusha: Kiwanja Kilichouzwa Kifisadi na Madiwani Wa CCM Charudi Mikononi Mwa Umma Chini ya CHADEMA

Hili ni wazo tu. Kalitafakari, kisha uje na tafakuri kina yako tuijadili.
Nimetafakari saaana, nikitilia maanani aibu inayoendelea kukiandama chama kwa kuendelea kupanga uchochoroni miaka yote wakati ruzuku tunavuta, nikaona pengine madiwani wetu wa Arusha watakuwa wameokoa jahazi kwa kutupatia hii plot tutupie hapo kitu cha maana ili chama kiwe na nyumbani kwake....... au wewe huoni kwamba ni aibu kuendelea kupangisha uswazi kwa miaka zaidi ya 20 sasa?
 
Nimetafakari saaana, nikitilia maanani aibu inayoendelea kukiandama chama kwa kuendelea kupanga uchochoroni miaka yote wakati ruzuku tunavuta, nikaona pengine madiwani wetu wa Arusha watakuwa wameokoa jahazi kwa kutupatia hii plot tutupie hapo kitu cha maana ili chama kiwe na nyumbani kwake....... au wewe huoni kwamba ni aibu kuendelea kupangisha uswazi kwa miaka zaidi ya 20 sasa?
Grow up.
Kwanini makao makuu ya Chadema yasijengwe Mpanda au Masasi, yajengwe Arusha?
 
Acha
Kiwanja namba 67 kilichopo eneo la Kilombero kata ya Levolosi,kiliuzwa kifisadi mwaka 2005 na madiwani wa ccm wakati huo.Mwaka 2007 ccm iliwavua uanachama Madiwani watatu wakiongozwa na aliyekuwa Meya Paul Lota Laizer.

Kiwanja hiki kilikuwa ajenda ya CHADEMA kuanzia 2010 kwenye kampeni,na tumeendelea kupambana kuhakikisha kuwa kinarudi kwa umma.Katika jitihada zetu hizo Halimashauri ya CHADEMA iliandika barua kwa Mh Rais ikimwomba Mh Rais atumie mamlaka yake ya sheria afute hatimiliki ya kiwanja hicho kwa kuwa kiliuzwa kifisadi.

Tunashukuru kuwa jitihada zetu zimezaa matunda na Mh Rais amefuta hatimiliki na kiwanja kimerudi mikononi mwana umma wa Arusha.
Sasa ni mali ya Halimashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA

EPHATA NANYARO
Diwani-Levolosi
Acha kutafuta sifa we sio msemaji wa Halmashauri, hujui protokali?
 
Kiwanja namba 67 kilichopo eneo la Kilombero kata ya Levolosi,kiliuzwa kifisadi mwaka 2005 na madiwani wa ccm wakati huo.Mwaka 2007 ccm iliwavua uanachama Madiwani watatu wakiongozwa na aliyekuwa Meya Paul Lota Laizer.

Kiwanja hiki kilikuwa ajenda ya CHADEMA kuanzia 2010 kwenye kampeni,na tumeendelea kupambana kuhakikisha kuwa kinarudi kwa umma.Katika jitihada zetu hizo Halimashauri ya CHADEMA iliandika barua kwa Mh Rais ikimwomba Mh Rais atumie mamlaka yake ya sheria afute hatimiliki ya kiwanja hicho kwa kuwa kiliuzwa kifisadi.

Tunashukuru kuwa jitihada zetu zimezaa matunda na Mh Rais amefuta hatimiliki na kiwanja kimerudi mikononi mwana umma wa Arusha.
Sasa ni mali ya Halimashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA

EPHATA NANYARO
Diwani-Levolosi
Lets give credit where it's due, HONGERA SANA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWA KURUDISHA HIYO ARDHI MIKONONI MWA WANANCHI.
Chadema acheni kusafiria nyota za watu wemgine, hamjafanya kitu chochote hapo.
 
Haya ndo mambo tunataka kusikia...sio mtu ananyang'anywa Shamba analomiliki kihalali Kabisa kisa tu kahamia upinzani wakati miccm inamiliki mihekari ya mashamba ambayo yamekuwa pori na wengine wanapora maeneo ya wazi na VIWANJA Vya umma ila hawaguswi

Haiwezekani mtu mmoja awe na hekta mamia eti sababu alikuwa kiongozi wa serikali, ulafi huo lazima hatuukubali. Tutawanyang'anya wote. Ufisadi huo. Kwani kuhama chama ndiyo umejifuta ufisadi au kutafuta uonewe huruma, nyooo
 
Kiwanja namba 67 kilichopo eneo la Kilombero kata ya Levolosi,kiliuzwa kifisadi mwaka 2005 na madiwani wa ccm wakati huo.Mwaka 2007 ccm iliwavua uanachama Madiwani watatu wakiongozwa na aliyekuwa Meya Paul Lota Laizer.kiwanja hiki kilikuwa ajenda ya CHADEMA kuanzia 2010 kwenye kampeni,na tumeendelea kupambana kuhakikisha kuwa kinarudi kwa umma.Katika jitihada zetu hizo Halimashauri ya CHADEMA iliandika barua kwa Mh Rais ikimwomba Mh Rais atumie mamlaka yake ya sheria afute hatimiliki ya kiwanja hicho kwa kuwa kiliuzwa kifisadi.Tunashukuru kuwa jitihada zetu zimezaa matunda na Mh Rais amefuta hatimiliki na kiwanja kimerudi mikononi mwana umma wa Arusha.
Sasa ni mali ya Halimashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA
Asanteni Arusha

Nanyaro Ephata
Diwani-Levolosi[/QUOTE]

BWANA NANYARO POLE NA MAJUKUMU, PAMOJA NA HABARI NZURI HII ULIYO IPAMBA , ILA HUKUWA MKWELI SEHEMU MBILI, KWANZA JITIHADA ZA KURUDISHA KIWANJA HIKI HAZIKUANZISHWA NA CHADEMA, REJEA UTEUZI WA MGOMBEA UMEYA KUPITIA CCM NA KUVULIWA UANACHAMA KWA WANACHAMA WA CCM. HIZI ZOTE ZILIKUWA NI JITIHADA ZA CHAMA TAWALA, PILI UNGEMALIZIA TAARIFA YAKO KUWA ALIYE KUWA MEYA BWANA PAUL LOTA LAIZER ALIE HUSIKA WAKATI HUO NA KUUZWA KIWANJA SASA HIVI NI MWANA CHADEMA MTIIFU. NA NYONGEZA UNGEMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KWA KURUDISHA ARDHI KWA WANANCHI. KISHA UNGETUJULISHA NA WEWE HIZI TUHUMA ZA KIFISADI ZINAZO KUANDAMA KUWA U MMOJA WA WALIOKUWA WANAGAWA VIBANDA VYA BIASHARA PALE STAND NDOGO YA DALADALA ZINAKUHUSU VP? ASANTE POLE NA MAJUKUMU MHESHIWA DIWANI WA LEVOLOSI.
 
Kiwanja namba 67 kilichopo eneo la Kilombero kata ya Levolosi,kiliuzwa kifisadi mwaka 2005 na madiwani wa ccm wakati huo.Mwaka 2007 ccm iliwavua uanachama Madiwani watatu wakiongozwa na aliyekuwa Meya Paul Lota Laizer.kiwanja hiki kilikuwa ajenda ya CHADEMA kuanzia 2010 kwenye kampeni,na tumeendelea kupambana kuhakikisha kuwa kinarudi kwa umma.Katika jitihada zetu hizo Halimashauri ya CHADEMA iliandika barua kwa Mh Rais ikimwomba Mh Rais atumie mamlaka yake ya sheria afute hatimiliki ya kiwanja hicho kwa kuwa kiliuzwa kifisadi.Tunashukuru kuwa jitihada zetu zimezaa matunda na Mh Rais amefuta hatimiliki na kiwanja kimerudi mikononi mwana umma wa Arusha.
Sasa ni mali ya Halimashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA
Asanteni Arusha

Nanyaro Ephata
Diwani-Levolosi

BWANA NANYARO POLE NA MAJUKUMU, PAMOJA NA HABARI NZURI HII ULIYO IPAMBA , ILA HUKUWA MKWELI SEHEMU MBILI, KWANZA JITIHADA ZA KURUDISHA KIWANJA HIKI HAZIKUANZISHWA NA CHADEMA, REJEA UTEUZI WA MGOMBEA UMEYA KUPITIA CCM NA KUVULIWA UANACHAMA KWA WANACHAMA WA CCM. HIZI ZOTE ZILIKUWA NI JITIHADA ZA CHAMA TAWALA, PILI UNGEMALIZIA TAARIFA YAKO KUWA ALIYE KUWA MEYA BWANA PAUL LOTA LAIZER ALIE HUSIKA WAKATI HUO NA KUUZWA KIWANJA SASA HIVI NI MWANA CHADEMA MTIIFU. NA NYONGEZA UNGEMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KWA KURUDISHA ARDHI KWA WANANCHI. KISHA UNGETUJULISHA NA WEWE HIZI TUHUMA ZA KIFISADI ZINAZO KUANDAMA KUWA U MMOJA WA WALIOKUWA WANAGAWA VIBANDA VYA BIASHARA PALE STAND NDOGO YA DALADALA ZINAKUHUSU VP? ASANTE POLE NA MAJUKUMU MHESHIWA DIWANI WA LEVOLOSI.[/QUOTE]
Acha uwongo ni kiwanja namba 68 Kitalu F
 
Kiwanja namba 67 kilichopo eneo la Kilombero kata ya Levolosi,kiliuzwa kifisadi mwaka 2005 na madiwani wa ccm wakati huo.Mwaka 2007 ccm iliwavua uanachama Madiwani watatu wakiongozwa na aliyekuwa Meya Paul Lota Laizer.

Kiwanja hiki kilikuwa ajenda ya CHADEMA kuanzia 2010 kwenye kampeni,na tumeendelea kupambana kuhakikisha kuwa kinarudi kwa umma.Katika jitihada zetu hizo Halimashauri ya CHADEMA iliandika barua kwa Mh Rais ikimwomba Mh Rais atumie mamlaka yake ya sheria afute hatimiliki ya kiwanja hicho kwa kuwa kiliuzwa kifisadi.

Tunashukuru kuwa jitihada zetu zimezaa matunda na Mh Rais amefuta hatimiliki na kiwanja kimerudi mikononi mwana umma wa Arusha.
Sasa ni mali ya Halimashauri ya Jiji la Arusha chini ya CHADEMA

EPHATA NANYARO
Diwani-Levolosi
Hii mnafurahi lkn lile Shamba liliporudishwa kutoka kwa fisadi mapovu yaliwatoka
 
Back
Top Bottom