Wadau naomba mnisaidie kunitajia majina na sehemu zilizopo hotel au lodge executive (nzuri) maeneo ya Africana Mbezi Beach zenye bei nafuu.
Nina shughuli ambayo itanilazimu kuwatafutia wageni wangu malazi nje ya nyumbani. Asanteni
Wahudumu wa baa wanahitajika.
Wahudumu wenye uzoefu kazi ya kuhudumia baa ya kisasa wahitajika. Mwombaji awe na angalao elimu ya kidato nne na kuendelea, awe mchangamfu, nathifu na mwenye uwezo wa kuhudumia club. Sehemu ya kazi ni Dar es salaam. Piga simu nambari 0754379190 kwa maelekezo zaidi.
It is announced that a manager with experience and qualification to manage a new complex of entertainment facility including a modern pub, lounge, night club and a lodge is urgently required. As mentioned, any considered suitable applicant must have a minimum experience of four years in the...
Morning waungwana, Naombeni msaada wa mawasiliano kwa anayejua mtaalamu wa kuweka sound proof na mtaalam wa kuweka taa za night club. is urgent and serious.
Asanteni.
MAMBO MUHIMU YA KUJIULIZA KUHUSU SUALA HILI;
1. Je ni kweli Bishop Pengo alikuwa kwenye kikao cha maaskofu na alisaini hiyo hati (waraka) wa maaskofu kuhusu maoni ya katiba kadri ya madai ya "Pastor" Gwajima?
2. Je kama alisaini hiyo hati je ilikuwa ni halali au sahihi kwa yeye tena kuja kutoa...
Wewe na hicho kichupa chako unachotuonyeshea kuwa ni kielelezo kuwa soda za coca ni chafu ni kuwa siku nyingine kabla hujaamua kufanya kitu kama hicho kaa chini na kufikiria consequences zake kwako; hi hivi; kisheria ni kuwa ulichoshikilia siyo kielelezo kuwa hizo soda hizo ni chafu! siyo...
Nilikuwa nikusaidie lakin inaonekana huna nia ya kuomba mssada bali kudhalilisha. Ilikuwa ni lazima kwako kusema mama wa kichaga ili ueleweke? au unadhani kwa kusema mama wa kichaga utapata treatment special au wanawake wote wa kichaga ni dhulumati? Kudaiwa elfu 15 zaid na kabila ka huyo mama...
nataka nikusaidie lakini elezawanza utafumaniwa na huyo mke wa mtu mkifanya nini hasa? mkoo baa mnakunywa, mnakula kitimoto uchochoroni, mnastorisha, mnasalimiana au nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.