Na yye kaulizia kwa kujiongeza, inawezekana Ana ka mchepuko ssa anakatafutia RV nzuri na mwananaHavana Lodge, iko karibu na Bagamoyo road lakini pia ipo pembeni na White sand road.
Kibona Hotel nafikiri ni nafuu zaidi. Uliza Watu wa Bajaj, bodaboda watakupeleka.
Viva villa nayo ni nzuri na imetulia sana. Maarufu pia kwa "kupitishia" michepuko. Inapakana na mikoko na unaweza kufika kwa bodaboda/bajaji.
Na yye kaulizia kwa kujiongeza, inawezekana Ana ka mchepuko ssa anakatafutia RV nzuri na mwanana
aise,,safi sana hyo havanna lodge ni km sh ngp maaana hata na mimi wikiend hii kuna mtoto nataka nimpeleke mitaa hiyo maana yeye anakaa sinza so anataka lodge mbal na sinzaHavana Lodge, iko karibu na Bagamoyo road lakini pia ipo pembeni na White sand road.
Kibona Hotel nafikiri ni nafuu zaidi. Uliza Watu wa Bajaj, bodaboda watakupeleka.
Viva villa nayo ni nzuri na imetulia sana. Maarufu pia kwa "kupitishia" michepuko. Inapakana na mikoko na unaweza kufika kwa bodaboda/bajaji.
hii viva hotel iko barabarani au unaingia ndani ndani,,nataka iliyojificha kidogoViva Vila Hotel - Mbezi Africana, uliza madereva taxi, bodaboda utafikishwa bila taabu
![]()
hii viva hotel iko barabarani au unaingia ndani ndani,,nataka iliyojificha kidogo
Sehemu nzuri kwa Mtoto ni Jangwani beach, kuna maeneo mazuri ya kucheza na kuswim!! Atakutana na Watoto wenzake wengiiiaise,,safi sana hyo havanna lodge ni km sh ngp maaana hata na mimi wikiend hii kuna mtoto nataka nimpeleke mitaa hiyo maana yeye anakaa sinza so anataka lodge mbal na sinza
namaanisha demuSehemu nzuri kwa Mtoto ni Jangwani beach, kuna maeneo mazuri ya kucheza na kuswim!! Atakutana na Watoto wenzake wengiii
mimi ni mtu mwingine...natafuta lodge iliyojificha ambayo inakua mtu unaeza ukaingia na mchepuko na asionekane na watu wengiWageni uwapeleke palipojificha tena?
Umemkomesha[emoji1]Sehemu nzuri kwa Mtoto ni Jangwani beach, kuna maeneo mazuri ya kucheza na kuswim!! Atakutana na Watoto wenzake wengiii
mkuu jirani zangu hao..ni pazuri sana nilishawahi peleka wageni wanguHavana Lodge, iko karibu na Bagamoyo road lakini pia ipo pembeni na White sand road.
Kibona Hotel nafikiri ni nafuu zaidi. Uliza Watu wa Bajaj, bodaboda watakupeleka.
Viva villa nayo ni nzuri na imetulia sana. Maarufu pia kwa "kupitishia" michepuko. Inapakana na mikoko na unaweza kufika kwa bodaboda/bajaji.
Duuuuuhhii viva hotel iko barabarani au unaingia ndani ndani,,nataka iliyojificha kidogo
mimi ni mtu mwingine...natafuta lodge iliyojificha ambayo inakua mtu unaeza ukaingia na mchepuko na asionekane na watu wengi
Bei gani kwa usiku mmoja?Viva Vila Hotel - Mbezi Africana, uliza madereva taxi, bodaboda utafikishwa bila taabu
![]()