Morning waungwana, Naombeni msaada wa mawasiliano kwa anayejua mtaalamu wa kuweka sound proof na mtaalam wa kuweka taa za night club. is urgent and serious.
upo wapi mkuu? nipo na timu yangu ya wataalam tunaweza kufanya yote hayo mpaka issue za artwork ndani ya club, color designing etc, tuna mauzoefu ya kutosha, tuchekiane inbox tupige kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.