tupitie baadhi ya facts badala ya kubishana tu na kupiga ngonjera zisizo na maana.
1. muungano wa nchi yoyote ukahusisha kisiwa au visiwa ni lazima utakuwa na changamoto nyingi na matatizo sana. hata taifa kubwa kama china wameshindwa kuidhibiti taiwani. maridhiano na maelewano yasiyotumia...
huyo wa kupuuzwa anayedhalilisha jina la Pohamba ...auulizwe maswali haya mawili.....rais mstaafu JK alipokuwa addis Ababa Jan 2013 katika kikao cha APRM ,alipoulizwa atalifungulia lini gazeti la mwanahalisi , alijibu nini? ........alisema sitalifungulia kwasababu limeandika habari za kihaini...
tanzania au tanganyika ni kisiwa cha uwoga uliokithiri.....kama kuna taifa linataka kujifunza namna ya kuwekeza uwoga kwa wanaanchi wake waje tanzania......watu waatapiga ngonjera weeeeee , halafu wataishia kwenda kulala ....ngonjera ngonjera mitandaoni...ngonjera kazini, ngonjera barabarani ...
sijaona tatizo kabisa katika hili...kama watu wana shughuli zao za kupata ridhiki wakaziacha kwa siku ile halafu wakalipwa hela ya maji ,nauli kwasabau mamndamano yanatakiwa kuanzia magomeni na mtu anaishi kimara bonyokwa...unafikiri atashiriki vipi kama hana hela ya maji au nauli au...
if u are not working for them,be analytical
Alishamtaja aafisa ikulu...nini kilifanyika? huyo ni afisa wa ngazi ya kati tu...ameshindwa kushughulikiwa...je akitaja wakubwa ? utafanya nini?
kwa mfano ilipoonekana wazi kuwa kamanda RPC Kamuhanda alikuwa pale kwenye tukio la kuuwawa MWANGOSI...NA HATA ALIPOTAARIFIWA NA AFISA MDOGO KUWA yule anayepigwa ni mwandishi na kamuhanda akaonekana kufunga kioo na kutojali chochote....je unasubiri mwangosi afufuke amtaje kamuhanda? huyo...
hata wanaume mapovu wapo pia....ila gossiping character nafikiri inachangiwa vilevile na makuzi, makazi yanayokuzunguka....kw mf mtu aliyezaliwa malampaka anaweza kupiga gossip kama wa magomeni,mwananyamala kisiwani? kwa ali maua?..... mtoto wa kume aliyezaliwa mwishoni,mwishoni wamemtangulia...
usiwe proud na nafasi ya chuo chako mpaka uelewe kwanza hiyo nafasi ya nne wameshika kwenye kitu gani...je ni quality of education? hapana kabisa
hizo ranks sio ranks za quality of education.....ni ranks za popularity ya website...hivyo muhimbili, hiyo nafasi yake au rank yake inatokana na...
hizo ranks sio ranks za quality of education.....ni ranks za popularity ya website...hivyo muhimbili, hiyo nafasi yake au rank yake inatokana na webmaster wao au namna alivyopopularise website yao......mtu mmoja anatuma kitu bila kuelewa anachotuma halafu anaingiza watu vichakani ,wanabaki...
those ranks have nothing to do with the quality of education provided is just how popular is your website...if u have know how to popularize your university website without taking care of the contents then you are there in top ten....
Dr umemjibu vizuri huyo bato lakini cha kuongeza zaidi nje ya context(muktadha) wa ulichomjibu....bato ameweka hizo ranks bila kutafakari na wengi wetu tukaingia katika kucoment bila kuangalia undani wa alichotuma...website hii aliyochukua hizo rank 4 International Colleges & Universities -...
watu wanaishi na virusi wapo wengi tu na hawalali kitandani wakisubiria siku zao bali wanachapa kazi...wapo viongozi wengi na wana madaraka makubwa....this story is very fictitious...lakini ni nzuri kwa watoto wa high school
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.