CHADEMA huwalipa wanaoandamana

CHADEMA huwalipa wanaoandamana

Matumizi ya "ni kweli hawalipwi wote" yabashirisha dhana ya kutaka kujitoa maana si wote yaweza kuwa hakuna hata mmoja#Ludovick
 
Chadema inaongozwa kwa fikra za kujipa moyo..yaani wanadhani watanzania wote wanna akili kama wale wabangaizaji wanaoshinda ufipa street..si rahisi kuhamasisha maandamano hewa yanayopigwa kalenda kila leo

Hakika umenena
 
We Mzee wa kuasisi Mkanda wa Ugaidi upo? - Yule jamaa muasisi mwenzako sasa hivi anakula bata tu, kashakusahau kama bado unaishi duniani. Wakati wewe unahangaika na vi-sredi vya kuchonga humu JF ili watu wajue bado una exist. na bado kama ulikuwa huijui ile policy na USE AND DUMP inayotumika pale Lumumba - utaisoma.

Kaazi kwelikweli, jibuni hoja waungwana.
 
We Mzee wa kuasisi Mkanda wa Ugaidi upo? - Yule jamaa muasisi mwenzako sasa hivi anakula bata tu, kashakusahau kama bado unaishi duniani. Wakati wewe unahangaika na vi-sredi vya kuchonga humu JF ili watu wajue bado una exist. na bado kama ulikuwa huijui ile policy na USE AND DUMP inayotumika pale Lumumba - utaisoma.

HURUMA kidogo basi mkuu FUSO
 
Naam Plato. Lwakatare hajawahi kusimamia ndoa yangu. na ulichosema kuhusu mchango aliotoa ni huo wa elfu 30.
 
- Kumbe ulipokuwa huko Chadema umejonea mengi ya ajabu na hawa wanafiki wakubwa, ndio maana miaka 30 hakuna dola wanaishia side lines na kuandamana na kugoma tu, wewe sema wasikutishe hawana lolote na matusi yao ya kizamani zamani wakati huku mjini kuna matusi mapya kabisa le mburulazzz, weka habari hapa tuone mchele na pumba kujibu hoja hawawezi kwa sababu hawa ni wapambe tu hawajui lolote kile chama kina wenyewe muulize yule kijana waliyekuwa wanamtumia kutukana Viongozi wa CCM mitandaoni walivyomtupa kwenye uchaguzi wao hahahahahaha!!

Le Big Show

Kama alivyotupwa yule mzee wa pesa za waarabu kule Mtera kuanzia 2005 hadi 2010 alipotupwa kama TP na dogo Lusinde??!
Tehe, siasa bwana?
 
- HAHAHAHA soma tena mada ni Chadema kuwalipa waandamanaji unataka kupoteza lengo yaani unataka na mimi niongelee wazaziw ako wasiojulikana, please tulia hapa kama unanyolewa wewe Chadema sio chama chako so tuliza boli upewe darassa ywa wanaoijua Chadema, sema kaka

Le Mutuz

sijaona tatizo kabisa katika hili...kama watu wana shughuli zao za kupata ridhiki wakaziacha kwa siku ile halafu wakalipwa hela ya maji ,nauli kwasabau mamndamano yanatakiwa kuanzia magomeni na mtu anaishi kimara bonyokwa...unafikiri atashiriki vipi kama hana hela ya maji au nauli au ugali....ukimpa hela mtu kama huyo sio kuwa umemlipa kuandamana.......suala la karimjee....CCM ndio walitangulia kuwaleta watoto wa primary school...waliwaleta alfajiri kujaza ukumbi....watoto hawajui hata walichofuata.....kama unversity students wa DUCE wamepewa nauli kwenda karimjee kuna tatizo gani? tuache ngonjera....ngonjera zinatosha...tuangalie maslahi ya wananchi ambayo CCM wamekubali wameshindwa kuyatumikia,wawaachie wenzao kwa muda huu....ila hawewezi kufanya hivyo kwasababu wanataka kulinda maslahi ya watoto na wajukkuu wao kama wewe.....
 
wazazi wangu hawewezi kufanana na wako,we unafanana na wazazi wako,mnaaibisha kabila lote la wagogo.

- Ningefanana na mzazi wako ningejiua maana kuzaa mtoto anayekuja JF kwa majina ya bandia kutukana watu ni mtoto mzigo U know kutoka kwa wazazi mzigo, haya turudi kwenye mada unabisha
Chadema huwa hwalipi waandamanaji? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
sijaona tatizo kabisa katika hili...kama watu wana shughuli zao za kupata ridhiki wakaziacha kwa siku ile halafu wakalipwa hela ya maji ,nauli kwasabau mamndamano yanatakiwa kuanzia magomeni na mtu anaishi kimara bonyokwa...unafikiri atashiriki vipi kama hana hela ya maji au nauli au ugali....ukimpa hela mtu kama huyo sio kuwa umemlipa kuandamana.......suala la karimjee....CCM ndio walitangulia kuwaleta watoto wa primary school...waliwaleta alfajiri kujaza ukumbi....watoto hawajui hata walichofuata.....kama unversity students wa DUCE wamepewa nauli kwenda karimjee kuna tatizo gani? tuache ngonjera....ngonjera zinatosha...tuangalie maslahi ya wananchi ambayo CCM wamekubali wameshindwa kuyatumikia,wawaachie wenzao kwa muda huu....ila hawewezi kufanya hivyo kwasababu wanataka kulinda maslahi ya watoto na wajukkuu wao kama wewe.....

- Sasa mbona mnawaponza wanavunja sheria wanapigwa tangulia wewe uone kipigo cha polisi cha kuvunja sheria,

Le Mutuz
 
Kama alivyotupwa yule mzee wa pesa za waarabu kule Mtera kuanzia 2005 hadi 2010 alipotupwa kama TP na dogo Lusinde??!
Tehe, siasa bwana?

- Una maana miaka 30 ya kugombea bila kupata dola au? hahahahahahah mnawalipa waandamanaji kumbe ndio akili yenu hiyo unaona mnaumbuka sasa, I mean Chadema wamekutumia kama ule mpira siku ya uchaguzi umeona walichokufanyia kudadeki chezeya chama cha wenyewe

Le Mutuz
 
mwalimu wa kuhongwa elfu hamsini laana ya familia ya rwakatare imekufanya uendelee kuweweseka ha ha utazikwa kiwiliwili uachwe kichwa kiliwe na mchwa wewe
 
- Una maana miaka 30 ya kugombea bila kupata dola au? hahahahahahah mnawalipa waandamanaji kumbe ndio akili yenu hiyo unaona mnaumbuka sasa, I mean Chadema wamekutumia kama ule mpira siku ya uchaguzi umeona walichokufanyia kudadeki chezeya chama cha wenyewe

Le Mutuz

Namuongelea Chigweyemisi, kwa nini alitupwa jalalani mwaka 2005 kwenye kura za ndani ya CCM na 2010 Kyle Mtera?
 
- Na mwenyekiti aliyekuwa anapokea hela kwa Mkono na Rostam, mbona hujampa maneno yake unafiki unawaua

Le Mutuz
Kuna aliyebadli jina na kuitwa Jumanne akapokea hela ya waarabu ili atinge magogoni, si anakuhusu? Kidogo mwalimu fulani arudishe kadi ya naniii! Upo hapo?
 
Back
Top Bottom