Dr W.P.Slaa ondoa mashaka kuhusu UDSM

Dr W.P.Slaa ondoa mashaka kuhusu UDSM

Hakuna sehemu dr slaa alikuwa na mashaka na UDSM. hivi neno unless ndio limewasumbua namna hii hadi mnasindwa kuelewa wewe na prof
 
Kwani dr. Slaa akasoma
chuo gani mpaka apate moral authority ya kuhoja kiwango cha elimu cha
UD?

mkuu, hata vyuo alivyosoma wala kwenye rank za kidunia havipo. labda kwenye orodha ya vyuo vikuu vya kidini. atajuaje ubora wa UDSM?
 
serikali imejaa phd holders na dr kibao, deliveries zao zikoje? hata mimi std vii naona naweza kuliko wao! Ikumbukwe vyuo vyetu havifundishi u-EPA etc, ni nafsi tu.

Sasa u EPA chuo chake kipo wapi jamani?
 
Hakuna sehemu dr slaa
alikuwa na mashaka na UDSM. hivi neno unless ndio limewasumbua namna
hii hadi mnasindwa kuelewa wewe na prof

ina maana wote wanaomrekebisha dr slaa hawakuelewa? au wewe ndo unajaribu kupindisha ukweli.
 
mkuu lazima hauko sawa aidha kichwani au kwenye mwili wako pengine umegonga viroba mkuu kuwa na heshima na udsm kinaheshima zake.

Shukrani!
Huna haja ya kunieleza kuhusu heshima ya UDSM, ndipo nilipopatia shahada yangu ya kwanza, ninapaheshimu sana na nitaendelea kuwaheshimu wote walionipa taaluma yangu ya awali kutoka Mlimani. Nimeweza kuendelea kitaaluma kutokana na elimu yangu ya awali niliyoipata UDSM! Kwa taarifa yako zaidi, situmii aina yoyote ya kilevi!
 
Wana JF,kulikuwa na thread hapa JF kuhusu mashaka ya Dr Slaa kwa kiwango cha elimu inayotolewa UDSM.Jana nimepata ujumbe kuwa niangalie ubora wa vyuo vikuu 100 bora Africa."2013 WORLD UNIVRSITY WEB RANKING"
Top 100 Universities and Colleges in Africa.
1.Univers. of S.Africa S.Africa
2.'' " " Cape T. S.Africa
3." " Stellenbosch. S.Africa
4.University of Dar es Salaam Tanzania
5....6.....7..8....9....10...
11.Makerere Univ. Uganda
12....
20.Nairobi Univ. Kenya
21.......
59.Sokoine Univ of Agri. Tanzania
60.....
98.Muhimbili University of Health and Alied Science, Tanzania.
Sijui vigezo,ila nimependa kuwa Mlimani iko juu.Wanaojua zaidi tusaidieni.

mkuu tunaomba na rank ya ubora wa chuo cha kanisa alichosoma padre slaa
 
mkuu lazima hauko sawa aidha kichwani au kwenye mwili wako pengine umegonga viroba mkuu kuwa na heshima na udsm kinaheshima zake.

Acha zako ww..hiko chuo Kina heshima gan? Jamaa ametoa analysis nzuri sana, mm mwenyew nimepita hapo mamb ni ovyo tu, pepa zinanunuliwa kama karanga pale k/koo...kama kinaporomoka lazima tuliseme hadharan, heshima ilikuwa zaman lakin sio sasa aisee...
 
Mashaka yake yalikuwa kwa Mwigulu kuwa reasoning yake iko chini sana na kama alipata 1st class basi kuna jambo sio la kawaida hapo UDSM. Ila mkuu kuna uzi ulisha dhibitisha kuwa Mwigulu hakuwa na uwezo wa kupata 1st class ila kuna kamchezo kalifanyika. Siendi mbali zaidi ya hapo.

Ha ha ha ha Chakaza eti huendi mbali zaidi ya hapo. Eti kaka Mwigulu Nchemba ya kweli haya? Mi najifunza tu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mbopna Muhimbili ipo nyuma sana au ni ile migomo isiyokwisha?

Hapana. Ni kwa vile kimekuwa full fledged university 2007, hivyo ni km chuo kipya, baada ya kujitoa UDSM, kinapanda polepole. Ndani ya miaka 10 chaweza kuwa pazuri zaidi.
 
mkuu, hata vyuo alivyosoma wala kwenye rank za kidunia havipo. labda kwenye orodha ya vyuo vikuu vya kidini. atajuaje ubora wa UDSM?

Amesoma Urbaniano Roma, tafuta uone ni cha ngapi. Na huenda alitoka na "Suma cum laude"
 
Bato,
Unless hujui kusoma na kutafsiri! UDSM kuwa ya 4 au hata ingelikuwa ya kwanza in a uhusiano gani na uwezo wa Mwigulu. Ukitaka kuwa objective, weka quotation ya maneno yangu ili wengine watathmini Kama kauli yangu ilihusu UDSM au Mwigulu na sarcastically unless mnasema ..... Jifunza analysis. Upotoshwaji haina nafasi ten a whatever the reason.



Wana JF,kulikuwa na thread hapa JF kuhusu mashaka ya Dr Slaa kwa kiwango cha elimu inayotolewa UDSM.Jana nimepata ujumbe kuwa niangalie ubora wa vyuo vikuu 100 bora Africa."2013 WORLD UNIVRSITY WEB RANKING"
Top 100 Universities and Colleges in Africa.
1.Univers. of S.Africa S.Africa
2.'' " " Cape T. S.Africa
3." " Stellenbosch. S.Africa
4.University of Dar es Salaam Tanzania
5....6.....7..8....9....10...
11.Makerere Univ. Uganda
12....
20.Nairobi Univ. Kenya
21.......
59.Sokoine Univ of Agri. Tanzania
60.....
98.Muhimbili University of Health and Alied Science, Tanzania.
Sijui vigezo,ila nimependa kuwa Mlimani iko juu.Wanaojua zaidi tusaidieni.
 
Thread kama hizi vijana wa buku 7 wanashadadia sana.
 
Wana JF,kulikuwa na thread hapa JF kuhusu mashaka ya Dr Slaa kwa kiwango cha elimu inayotolewa UDSM.Jana nimepata ujumbe kuwa niangalie ubora wa vyuo vikuu 100 bora Africa."2013 WORLD UNIVRSITY WEB RANKING"
Top 100 Universities and Colleges in Africa.
1.Univers. of S.Africa S.Africa
2.'' " " Cape T. S.Africa
3." " Stellenbosch. S.Africa
4.University of Dar es Salaam Tanzania
5....6.....7..8....9....10...
11.Makerere Univ. Uganda
12....
20.Nairobi Univ. Kenya
21.......
59.Sokoine Univ of Agri. Tanzania
60.....
98.Muhimbili University of Health and Alied Science, Tanzania.
Sijui vigezo,ila nimependa kuwa Mlimani iko juu.Wanaojua zaidi tusaidieni.

Huyu mwanzisha thread ni miongoni mwa hawa watu ambao wako tayari hata kulawitiwa ili mkono uende kinywani. Kwanza list uliyoitoa ni ya uongo, University of Dar es salaam sio ya nne. Umebadilisha ili uweze kutimiza lengo lako kwa Dr Slaa.
 
Bato,
Unless hujui kusoma na kutafsiri! UDSM kuwa ya 4 au hata ingelikuwa ya kwanza in a uhusiano gani na uwezo wa Mwigulu. Ukitaka kuwa objective, weka quotation ya maneno yangu ili wengine watathmini Kama kauli yangu ilihusu UDSM au Mwigulu na sarcastically unless mnasema ..... Jifunza analysis. Upotoshwaji haina nafasi ten a whatever the reason.

Dr umemjibu vizuri huyo bato lakini cha kuongeza zaidi nje ya context(muktadha) wa ulichomjibu....bato ameweka hizo ranks bila kutafakari na wengi wetu tukaingia katika kucoment bila kuangalia undani wa alichotuma...website hii aliyochukua hizo rank 4 International Colleges & Universities - About Us inaeleza vizuri kuwa ranks hizo haziangalii quality ya education....it is just popularity of their websites bila hata ya kuangalia contents za websites...watu wa forum may read the below highlighted excerpts from the website[h=5]The aim of this website is to provide an approximate popularity ranking of world Universities and Colleges based upon the popularity of their websites. This is intended to help international students and academic staff to understand how popular a specific University/College is in a foreign country.[/h][h=5]We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for selecting a higher education organization where to study.[/h]
 
Mbopna Muhimbili ipo nyuma sana au ni ile migomo isiyokwisha?
those ranks have nothing to do with the quality of education provided is just how popular is your website...if u have know how to popularize your university website without taking care of the contents then you are there in top ten....
 
Shukrani!
Huna haja ya kunieleza kuhusu heshima ya UDSM, ndipo nilipopatia shahada yangu ya kwanza, ninapaheshimu sana na nitaendelea kuwaheshimu wote walionipa taaluma yangu ya awali kutoka Mlimani. Nimeweza kuendelea kitaaluma kutokana na elimu yangu ya awali niliyoipata UDSM! Kwa taarifa yako zaidi, situmii aina yoyote ya kilevi!

Mkuu kwa mtu yeyote mwenye akili timamu,anajua ulichoandika ulimaanisha,hapa wamejaa watu wanaofikiri kwa kutumia makalio! usipate shida na hawa,cku zingine wapuuze tu huna haja ya kujibizana nao.!
 
Shukrani!
Huna haja ya kunieleza kuhusu heshima ya UDSM, ndipo nilipopatia shahada yangu ya kwanza, ninapaheshimu sana na nitaendelea kuwaheshimu wote walionipa taaluma yangu ya awali kutoka Mlimani. Nimeweza kuendelea kitaaluma kutokana na elimu yangu ya awali niliyoipata UDSM! Kwa taarifa yako zaidi, situmii aina yoyote ya kilevi!

Mzee wangu na Mkuu;

Mimi nimekusoma mwanzo mpaka mwisho nimekuelewa vizuri sana na yote uliyasema pale juu hayana hata chembe ya shaka kwani hali ya utoaji taaluma katika vyuo vyetu vikuu vya sasa na hasa kuanzia miaka ya 1990 to date si ya kufurahisha na kujivunia hata kidogo!!

Wapo vijana wengi sana product ya vyuo hivi ambao ukiwaleta katika mazingira ya halisi ya utendaji kazi wa kutumia elimu shahada utashangaa kwani hawafanani na kiwango hicho cha elimu ya chuo kikuu.Na ni ukweli ulio wazi kuwa wengi hata uwezo wao wa kujieleza na kupambanua mambo ni mdogo sana, na hii inapokuwa hivi ni lazima uwatilie shaka hata walimu wanaowafundisha na kuwapika vijana hawa na hili si kosa hata kidogo kuwa na mashaka hayo!!

Ni wazi pia kuwa hili si kwa walimu wote,ila wengi ndivyo walivyo wa hovyo wanasaliti taaluma zao na ndiyo wanaowapa shahada-first class baadhi ya wahitimu wa dizaini ya Mwigulu Nchemba kwa sababu walipewa kitu kidogo ili watoe hiyo favor iliyo na long term effects katika jamii na taifa letu. Ndiyo maana kuna degree zingine zinaitwa za "chupi" kwa sababu wenye nazo walizipata kwa kulazimika kutoa rushwa ya ngono kwa profesa au Dr mwalimu flani aliyemsimamia ktk programu yake!!...Na madhara ya haya ndiyo tunayoyaona leo kwa kuporomoka kwa maadili ya taifa,utendaji mbovu ulio chini ya kiwango katika maeneo yetu ya kazi ya uzalishaji ktk ofisi za umma kuanzia Ikulu hadi ofisi ya mtendaji wa kitongoji

Huyu ndugu yetu aliyekuita kuwa wewe ni mlevi kwa sababu tu ya kutoa maoni yako kwa namna unavyoona mambo yanavyokwenda siku hizi ni lazima yeye ndiye mlevi na actually labda ndiyo product ya UDSM ya siku hizi. Kwa sababu kila alifikiri kuwa angekuja na maoni yaliyojaa hoja ya kupinga hoja zako yeye akaishia kutukana bila hata kusema kuwa nakuita wewe mlevi kwa sababu moja, mbili , tatu na kuendelea

Na Dr W .P. SLAA ninayemfahamu mimi wa tangu anaingia bungeni mwaka 1995 mpaka anaingia na kushiriki ktk kinyang'anyiro cha kugombea Urais ktk General election ya 2010, ni msomi kwelikweli wa enzi zenu, mtu aliyejipambanua kwa hoja zake na ni mtu ambaye ndiye pekee katika BIG polical figures mwenye msimamo wa kuturejeshea maadili haya yaliyopotea. Wahafidhina kwa namna yeyote hawawezi kumpenda mtu wa namna hii, kamwe hawawezi kukubaliana na na hoja yake yoyote hata iwe nzuri namna gani itapotoshwa tu

Pole sana kwa kutukamnwa mzee wangu, nakuita mzee kwa sababu kama shahada yako ya kwanza uliipata miaka ya 1980, basi lazima utakuwa umekulakula chumvi kidogo....na hakika utusamehe bure tu sisi vijana wa uzao wa ALLY H. MWINYI, BEJAMINI W. MKAPA na sasa JAKAYA M. KIKWETE......vijana wa uzao wa utandawazi na soko huria!!
 
Back
Top Bottom