Wanawake kwa kusengenya.....!!!!!!!

Wanawake kwa kusengenya.....!!!!!!!

Ila mbona my wife anapiga umbea ila hapendi kuambiwa huo ni umbea wa wanawake au hulka? Ni rahisi kwa mwanamke kukubali hili kirahisi?

haikubaliki kirahisi, mie mwenyewe kuna wakati natia stori na shemeji yako kumbe nimeingiza stori za "kike" basi akiniambia tu hivyo namnunia! unajua kuna stori fulani mwanaume "aliekamilika" anaziona kama sio kabisa na hapendi kuzisikia sasa sisi si tumezoea kushusha ishuz tunajisahau kwamba tunamix mambo, hahaha.
 
ila wakina dada mngekuwa mnatumia muda wenu vizuri kudiscuss mambo ya maana mngekuwa mbali sana.
 
haikubaliki kirahisi, mie mwenyewe kuna wakati natia stori na shemeji yako kumbe nimeingiza stori za "kike" basi akiniambia tu hivyo namnunia! unajua kuna stori fulani mwanaume "aliekamilika" anaziona kama sio kabisa na hapendi kuzisikia sasa sisi si tumezoea kushusha ishuz tunajisahau kwamba tunamix mambo, hahaha.

Hapo bold ndio penyewe kabisa....Yaani utanuniwa na usipokuwa makini hupewi chakula cha baba.
 
heee kumbe kuna wanaume suruali sikujua mie?

hata wanaume mapovu wapo pia....ila gossiping character nafikiri inachangiwa vilevile na makuzi, makazi yanayokuzunguka....kw mf mtu aliyezaliwa malampaka anaweza kupiga gossip kama wa magomeni,mwananyamala kisiwani? kwa ali maua?..... mtoto wa kume aliyezaliwa mwishoni,mwishoni wamemtangulia nyumbani madada tu? kazi unapofanyia je? wana tamaduni za gossiping? ....anyhow...nasikia waaopiga/wanaopenda gossip wanaishi muda mrefu kidogo kama factors zingine zipo constant... inasemekana gossip inapunguza stress ...
 
Unatisha baba


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
why? basi waache kusengenya ili nisiwaite hivyo...

Zamani tukiwa wadogo tuliambiwa baba hajambi... hivyo ikitokea unasingiziwa mtoto na hata ikiwezekana unafukuzwa ili kulinda heshima ya baba...hope umeshashughudia au umesimuliwa. Huu ndio ulikuwa mfumo katili kumlinda baba kama ilivyo kwa wanaume suruali wasiopenda kuonekana wametenda japo ukweli unasimama upande wao. Kwa kweli usijaribu kwani watatumia kila mbinu kukuaibisha.
 
Zamani tukiwa wadogo tuliambiwa baba hajambi... hivyo ikitokea unasingiziwa mtoto na hata ikiwezekana unafukuzwa ili kulinda heshima ya baba...hope umeshashughudia au umesimuliwa. Huu ndio ulikuwa mfumo katili kumlinda baba kama ilivyo kwa wanaume suruali wasiopenda kuonekana wametenda japo ukweli unasimama upande wao. Kwa kweli usijaribu kwani watatumia kila mbinu kukuaibisha.

unafikiri ntaangalia kwa wote!!!

ntafikiria tu wapi na nani wa kuyatumia hayo maneno!
 
Back
Top Bottom