Recent content by NgomaNzito

  1. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Nilivyomkamata/nilivyompata mke wa pedeshee

    Lipa hela 2000
  2. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    0-0
  3. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Siku Rais Magufuli alipokuwa MC wa Dr. Dau

    Hapa kuna jambo linajengwa si bure msiyempenda kaja haha
  4. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Yanga SC vs Esperanca

    Dogo Mateo nimependa anavyocheza kwa kujiamini
  5. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yule dogo mwenye dred aliyefunga goli la pili anacheza kwa kutulia
  6. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania KESI YA KITILYA: Mahakama Kuu yatupilia mbali rufaa ya DPP

    Hapo umenena mkuu wa Havard wako mtaani
  7. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Mwenye CV ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam aiweke hapa

    Ana shahada ya uchumi Chuo cha mwalimu Nyerere (Mwananchi 23/03/2016)
  8. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

    Great
  9. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Mwenye CV ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam aiweke hapa

    Diwani wangu piga kazi achana na maneno cv ana shahada ya ukweli
  10. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Dili la Mafenesi Dar

    Mafenesi yamekuwa dili Dar kila hatua mbili kuna kitoroli wanachambua na kuweka kwenye vikombe vya plastic yaelekea biashara nzuri. Ila kama vile usafi tatizo wenye u juzi watujuze
  11. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    si kweli wote tumepiga kura ila Mungu ndie anayejua Wakina Makamba walichokifanya
  12. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya Mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa, Dar es Salaam - Septemba 20, 2015

    Maandalizi yanaendelea vizuri tunawasubiri viongozi na mwenyewe Lowassa
  13. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Lowasa Kigamboni kesho atapiga mbizi

    Mgombe Uraisi Edward Lowassa kesho atakuwa viwanja vya Tungi Kigamboni kuanzia saa 3 tutawajuza yatakayo endelea Tutawajuza yatakayokuwa yakiendelea Karibuni sana
  14. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Dkt Magufuli kugwaya kwenda Kigamboni?

    Kivuko kinatumiwa na magari.maguta na baiskeli yanayosafirishwa vyakula na mbogamboga hizo zote zilipanda bei maradufu nauli si hoja sana ukulinganisha na bei ya vitu tunataka mabadiliko
  15. NgomaNzito

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kuna nini mpaka Dr. Shein apate watu wachache kwenye mikutano yake?

    Kasema ataunda serikali ya umoja wa kitaifa tena
Back
Top Bottom