Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
Hskuna anaemchukiya kigamboni tunamsubiri kwa hamu hata mbunge wake diwani wooote watchukua ccm
UKAWA wataenda Kigamboni kwa kutumia miundombinu aliyojenga Magufuli
Kwa hiyo magufuli aliongeza bei ya kivuko akijigamba kama wewe? Kwàmba kigamboni hawaishi walala hoi? Basi atapigiwa na mabwanyenye sisi adhabu yetu kwake aapige mbizi na akifanya hivyo tutampa kura zoteUzi huu haukuletwa na wanakigamboni bali umeletwa na mtu mwenye hisia dhaifu zenye lengo la kuwadhakilisha wana kigambini. Hivi kigamboni wanaishi walala hoi anbao hawawezi kumudu sh. 200 ? Mbona wana kigamboni wanamudu simu za bei mbaya zisizoishiwa salio. Mbona kitu chochote kinachosemwa na kikijulikana wazi kuwa hakiwezekani hugeuka kuwa utani? Ni mwanakigamboni gani aliyejaribu kupiga mbizi kufuatia tamko la Magufuli? Watanzania tuache kujitoa ufahamu. Tujiongeze!
Mwenzie ameshaenda CHATO...na yeye aende monduli tuone mambo...
Shilingi 200 ndo nauli kubwa?
UKAWA wataenda Kigamboni kwa kutumia miundombinu aliyojenga Magufuli
Kivuko kinatumiwa na magari.maguta na baiskeli yanayosafirishwa vyakula na mbogamboga hizo zote zilipanda bei maradufu nauli si hoja sana ukulinganisha na bei ya vituPumbavu kabisa anesema 200 sio kubwa,na hata ingekuwa ni ndogo lakini kiongozi hupaswi kuongea lugha za kuudhi
Uzi huu haukuletwa na wanakigamboni bali umeletwa na mtu mwenye hisia dhaifu zenye lengo la kuwadhakilisha wana kigambini. Hivi kigamboni wanaishi walala hoi anbao hawawezi kumudu sh. 200 ? Mbona wana kigamboni wanamudu simu za bei mbaya zisizoishiwa salio. Mbona kitu chochote kinachosemwa na kikijulikana wazi kuwa hakiwezekani hugeuka kuwa utani? Ni mwanakigamboni gani aliyejaribu kupiga mbizi kufuatia tamko la Magufuli? Watanzania tuache kujitoa ufahamu. Tujiongeze!
Duu magufuli kiboko kweli ,PANTONI kalijenga lini ??
Una uhakika na unachokipost? au unalopoka tuu ili nawe uonekane
Uzi huu haukuletwa na wanakigamboni bali umeletwa na mtu mwenye hisia dhaifu zenye lengo la kuwadhakilisha wana kigambini. Hivi kigamboni wanaishi walala hoi anbao hawawezi kumudu sh. 200 ? Mbona wana kigamboni wanamudu simu za bei mbaya zisizoishiwa salio. Mbona kitu chochote kinachosemwa na kikijulikana wazi kuwa hakiwezekani hugeuka kuwa utani? Ni mwanakigamboni gani aliyejaribu kupiga mbizi kufuatia tamko la Magufuli? Watanzania tuache kujitoa ufahamu. Tujiongeze!
Daaah!!! Viongozi wangekuwa na utani namna hii hao waliondelea wasingekuwa wamesonga mbele lkn kwa sababu sisi HAPA NI UTANI TU ndiyo maana tumefika hapa tulipo.
Lkn lile tamko la kupiga mbizi alitamka kwamba ni utani au alikuwa serious ?
Think twice as a laeder alipaswa kutamka maneno yale?
Acha avune alichopanda.