Recent content by Ngoks

  1. N

    Nchi inamshinda JK - Heche (Mkiti wa BAVICHA)

    Hivi wewe unayemtetea kikwete, mwenzetu waishi shimo gani.? Acheni unafiki kikwete nchi IMEMSHINDA, mwenye raha labda ni, jambazi, fisadi au muuza madawa ya kulevya!
  2. N

    Spika amtwisha Zitto Kabwe zigo la UDA

    Hayo ni mawazo chanya, endeleeni na maandalizi ya maandamano ya amani, tumechoka na huyo VASCO DAGAMA wetu kuzurula kila wakati.
  3. N

    Spika amtwisha Zitto Kabwe zigo la UDA

    <br /> <br />
  4. N

    CHADEMA ngoma mbichi Arusha

    <br /> <br />
  5. N

    Kamati kuu CHADEMA kufunika Arusha Alhamisi

    Hongereni MAKAMANDA WETU, PEOPLE'S POWER mpaka kieleweke!
  6. N

    GE2010 CHADEMA nani kawaroga?

    Mama popote hata kwa WAZAZI WAKO kama huna adabu, unamwambia BABAKO hata mimi ninaweza kukuzaa, utakachoambulia ni laana na kuokota na kuishia kuokota makopo. Wamebembelezwa sana wakakataa, walichokipata ni saizi yao, waende ccm wanakostahili.
  7. N

    CCM yahofia kupinduliwa

    Mpaka kieleweke
  8. N

    Diwani CHADEMA arejea CCM

    Na wengine wa aina hiyo kama wapo waondoke woote! Kuwa na wapiganaji shupavu 10 ni bora kuliko wenye asili ya magamba 100. Hatutishiki.
  9. N

    Taarifa kwa umma: Maazimio ya mkutano mkuu wa wilaya ya Arusha mjini - 3 agosti 2011

    Fukuza bila ya kukawia, fukuza haraka, tena haraka sana.
  10. N

    Heko spika makinda kwa hatua makini

    Anakaribia kukua Anne, akikua ataacha kabisa
  11. N

    Ole sendeka aichana vilivyo hotuba ya bajeti ya Magufuli

    Kubwabwaja kwa ole sendeka wakati kapitisha na kuiunga mkono budget 100% maana yake nini!? Wamdanganya nani wewe? Nawe ni gamba tu, wapaswa uvuliwe mara moja, mnafiki mkubwa.
  12. N

    Wenyeviti wa CCM: uamuzi wa kujivua gamba utenguliwe

    Hao wenyeviti watambue kuwa shuka likichafuka sio kupulizia perfume bali ni kulifua. Na kitanda chenye kunguni ni kuchoma moto tu. LOWASSA NA CHENGE ni bora kuliko CCM!?? Wa Tz tunaona, tunasikia, tunafuatilia na kuyajadili yoote. OLE WENU, mwendelee kuwa na kigugumizi, mtakiona 2015.
  13. N

    Nanyaro ateuliwa kuongoza CHADEMA Arusha mjini

    HONGERA Ubarikiwe mwanangu, sisi wazee hatupendi migogoro, hasa hasa kwenye chama mbadala Chadema. Dumisha amani na mshikamano. PEOPLE'S POWER!
  14. N

    Tamko la Kamati Kuu ya CCM; Muda waongezwa kujivua gamba

    Kikwete anaogopa kivuri chake, anakikwepa na kukikimbia. HANA MAAMUZI MAGUMU, hana ubavu wa kutamka chochote kwa Lowassa, anaogopa akimwaga ugali, Lowassa atamwaga mboga. Dawa ni 2015 ni kuitupa mbali sana CCM.
Back
Top Bottom