EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Baadhi ya wenyeviti wa CCM wa mikoa wamepania kushinikiza kutenguliwa kwa uamuzi wa CC kuhusiana na mkakati huo wa kuwataka makada wake kujivua gamba, Mwananchi limeelezwa.
Mmoja wa wenyeviti hao alisema jana kwamba wanasubiri kwa hamu mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec) akisema hawako tayari kuona chama kikisambaratika. Subirini halmashauri kuu mtasikia, haya wanayoyataka hayana maslahi kwa chama ni makundi ya urais mwaka 2015. alisema.
My Take: Inaonekana hawa wenyeviti hawawezi kuishi bila ufisadi na je uamuzi ukitenguliwa Rostam aliyejiuzulu watamuomba arejee kazi zake.
Mwananchi.
Mmoja wa wenyeviti hao alisema jana kwamba wanasubiri kwa hamu mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec) akisema hawako tayari kuona chama kikisambaratika. Subirini halmashauri kuu mtasikia, haya wanayoyataka hayana maslahi kwa chama ni makundi ya urais mwaka 2015. alisema.
My Take: Inaonekana hawa wenyeviti hawawezi kuishi bila ufisadi na je uamuzi ukitenguliwa Rostam aliyejiuzulu watamuomba arejee kazi zake.
Mwananchi.