Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Ole sendeka ana bifu na magufuli
Ni kweli nilimuona Ole Sendeka akiomba mwongozo kwa mtindo ule ule wa kutoa hotuba. Na alitumia maneno "Serikali ya ccm iko katika hatua zake mwisho....". Inawezekana Ole Sendeka ameamua kuutangazia umma 'tafsiri' sahihi ya nini kilifanyika juzi na jana kwenye kikao cha CC na pengine ameamua kutuandaa (pyschologically) sisi watanzania kwa kifo cha CCM.
Kwa upande mwingine, Ole Sendeka yeye sio CCM ni CCJ, na mgombea wao ni Mzee Sitta. Sasa inawezekana Sendeka na wenzake wanataka kumuandama Magufuli ili aonekane sio chochote na watanzania na hivyo kuimarisha nafasi ya mgombea wao yaani Sitta?
Mkuu huna akili kabisa hata ya kufikia kidogo umekosa!?