Tangu jana wenyeviti wa kuendesha Bunge na wewe mwenyeo leo umeonyesha huna mchezo tena wa kuendekeza miongozo,nimelishuhudia ukimzima Ole Sendeka alipotaka MB.Silinde afute kauli yake kwamba kuna wabunge wa CCM wanaitwa na CC yao na kupewa vitisho,Ukiendelea namna hii sasa bunge lako litaheshimiwa
My.Take ,Jamani JF members na wananchhi wengine tuendelee kukemea maovu kumbe kuna wakati inaweza kutengeneza impact
My.Take ,Jamani JF members na wananchhi wengine tuendelee kukemea maovu kumbe kuna wakati inaweza kutengeneza impact