Recent content by Ngekemkeni Mitomingi

  1. N

    Observational study: CCM kubeba ubunge Karatu

    Je ushawahi kujiuliza kwa nn ccm wanang'ang'ania ikulu?
  2. N

    Maalim Seif ni tatizo CUF

    Lowassa katangaza nia mara mbili na lipumba kagombea mara 4
  3. N

    Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

    Habarini wanajamii forum Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka. Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji. Mwenye taarifa sahihi...
  4. N

    Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

    Habarini wanajamii forum Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka. Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji. Mwenye taarifa sahihi...
  5. N

    Kununua shamba

    Habarini wanajamii forum, Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji. Mwenye taarifa sahihi...
  6. N

    Muhimbili

    Jaman mimi niliomba kusoma diploma pale MUHAS lakini mpaka leo nikiingia kwenye website yao sioni selection zao.Je ztatoka ln? Jambo hili linanichanganya sana kwa kuwa niliomba nafasi pale TIA na DIT nkapata ila kwa kuwa nilikuwa napenda kozi za afya nimeshindwa kwenda kufanya usajili na pale...
  7. N

    Natafuta Shamba

    Ndugu naomba unitumia hyo namba ya nduguyo kwenye namba 0655535593
  8. N

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    mkuu kipatimu ndo wapi naomba maelezo vzr
  9. N

    Mwanzo mgumu lakini mvumilivu hula mbivu

    Mkuu naomba unicheki kwa namba 0655535593 Ningependa kuwasiliana nao juu ya greenhouse
  10. N

    Msaada wanajukwaa

    Naomba kupata taarifa zifuatazo kwa anayefahamu. Napenda kuwekeza kwenye kilimo. Hivyo ningependa kujua maeneo ambayo naweza kupata shamba lenye rutuba katika mkoa wa Morogoro ama Tanga. Tafadhari naomba iwe ni sehemu ambayo inakubali kilimo cha mazao tofauti tofauti kama vile Mahindi...
  11. N

    Zitto Kabwe: Siwezi kukubali au kukanusha kama niko chama kipya cha ACT

    Hili ndo tatzo letu watanzania hua hatufatilii mambo kwa kina. Ila iko hv Zitto hana jeuri ya kujing'oa CHADEMA labda ang'olewe. Mwanasiasa kuhama chama wakati wa mgogoro akabaki na umaarufu wake na akaendelea kushika madaraka ni mchezo wa potea 80% na pata 20% na hilo zitto analijua mana ni...
  12. N

    Tuige hii desturi ya wachaga

    Ila 2siige tabia zao za kupenda kufanya biashara kwa madawa(wengi washawatoa wazaz na ndugu zao sadaka) na pia rushwa washkapo nyadhifa kwenye makampuni na serikalini
  13. N

    Kwa kiasi fulani Marekani wako fair Ingawa tunawachukia

    Hv unajua wamarekan wali2mia ndege za kijeshi kunyunyuzia sumu kwenye mashamba ya wa-vetnum ila chakula na mifugo visistawi ili waate njaa ili wavet washindwe vita kirahisi? Huijui hii USA ww kaa kmya wanapotoa msaada jua wanafaidika mara 5 ama zaidi ya kile walichokitoa. Na muda mwingine hua...
  14. N

    Natafuta kazi ya kafundisha English na History

    Kama uko dar watafute jamaa wanaitwa Teacher's junction naamini watakusaidia kupata ajira yenye mapato mazuri.
Back
Top Bottom