Naona unakomaa kuwaita ukawa waalifu wakati watanzania wengi wameshaelewa Serekali na polisi ndio wanaofanya ualifu kwakunyima ukawa haki yao ya kikatiba kuongelea mambo ya msingi kama ubabe bungeni kuzuia mijadala bungeni kama kufumbiwa macho kwa utekelezaji wa hukumu ya ESCROW na kupigania...
Ha ha ha. Lakini hata mgombea wa ACT na mfazili wao Zito kabwe aongelei. Hata Dr. Slaa, Warioba, awaliongelei swala la ESCROW. Waandishi wa havari awailizi ili swali tena kwa viongozi wakiwa majukwaani na press conference. Kilamtu anaogopa kuongelea walibeba hela STANBIC kwa viroba
Sijui kwanini ukawa hawaongelei hii kitu kila siku. Ningekuwa mgombea wa ukawa ningekuwa nakuja na picha za watu walobeba viroba vya hela na kuvaaa nguo za kijani kwenye kampein
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.