Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Samahani lakini..!
Malaria Sugu
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Samahani lakini..!
Bahati mbaya siyo Gwajima aliyenena kwa umma bali ni Dr Slaa. Kwa kauli yake umma na waumini wa Katoliki wameaminishwakuwa vionģozi wao wameinigia katika mtego wa rudhwa. Hii kwangu mimi inanipa shida, Padre Mkatoliki kuwahusisha Maaskofu wake (kiukweli ni Kanisa zima la Tanzania) kwa rushwa! Dr Slaa alipaswa kufikiria zaidi kabla ya kutamka haya.
chanzo gazeti la nyakati!....
hahaha give us a break.... nyie mnasabisha huyu mzee anarudi tena hewani kupinga huu uzushi maana alishaongea huku akiendelea kuwakandamiza ukawa ...mngekaa kimya ingekuwa vizuri zaidi...
nanukuu
" askofu gwajima.. mbele ya mbowe, na lisu alisema ameshuhudia maaskofu wakihongwa milioni 60" - Maneno ya slaa aliyarudia tena Star TV ...
ngwajima ni msanii! mnakumbuka kuna msukule ulimuumbua...! ? kumbe anakodi wale watu...
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
"when a stupid man is doing something he is ashamed of, he always declares that it is his duty"
George Bernard Shaw 1948
Dr. Slaa anajua the way tunafikiri juu yake, ndio maana anasisitiza kuwa NI WAJIBU WAKE KAMA MTANZANIA KUTUMIWA NA CCM. Hayo maneno kayasema mtu mwenye miaka 102, miaka miwili kabla hajafa
Mkuu lkn huwezi kuzuia tuhuma zozite zile hata mm nikitaka kukutuhum ww naweza so haina shida sana nazani
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
![]()
My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
Uislam hautoweza kuangamizwa na yeyote yule, unazidi kushamiri na kukuwa kwa kasi duniani kote - kumbuka hilo.
huu ni mwaka wa 2015 tangu yesu Kristo alipokuja duniani.... Kwa waislamu huu n mwaka wa ngapi? Na kwanini mnatumia miaka ya kikristo?Uislam hautoweza kuangamizwa na yeyote yule, unazidi kushamiri na kukuwa kwa kasi duniani kote - kumbuka hilo.
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
Mimi siongelei nchi nyingine naongelea tanzania, ngoja nikupe tafakuri ndogo tu, inderectly jinsi ccm ilivyoleya umaskini kwenye jamii ya pwani ntaandika in codede language(kwa mafumbo) unajua ccm imesababisha umaskini sana hasa maeneo ya pwani na umaskini umesababisha vijana wengi hasa wa kiislamu kujiingiza kwenye vitendo au matendo ambayo hayapendezi mfano ukahaba na mambo ka bongo fleva nk kutokana na kutafuta kipato, mfano vijana wa kiislamu walioko bongo flevaUislam hautoweza kuangamizwa na yeyote yule, unazidi kushamiri na kukuwa kwa kasi duniani kote - kumbuka hilo.
SLAA namwangalia kwa angle nyingi
ila angle nyingine anareflect ile tabia ya watanzania wengi kuwa na papara, na kushidwa kumalizia vitu tulivyo vianzisha, na kukata tamaa, na hii ipo hata kwa vijana, wanashidwa kumalizia masomo, kazi, mipango ya maisha kwa tamaa na papara, kwenye hili slaa alifanya papara sana, hata kama ni mke kamlainisha lakini angetumia akili ya kuzaliwa kukwepa kiunzi, ila kaingia kichwa kichwa mbaya..
naskia ana mahijiano na tido, ningekuwa ni tido mhando slaa angekimbia studio, ningemchapa maswali na facts mpaka apate kiharusi