Magufuli kumnadi Chenge leo

Magufuli kumnadi Chenge leo

Natamani kuona kama makufuli atasema neno fisadi mbele ya chenge bila kuangalia chini
 
Leo Jp Magufuli atakua viwanja vya Halmashauri Bariadi jimboni kwa Andrew Chenge,jambo kubwa linasubiriwa ni namna atakavyomnadi Mtemi Chenge kw sababu kila anapopita JP anasema atapambana na wanaotajwa kua mafisadi
nitawaletea kila kitu hapa

Hatupaswi kuwashambulia wananchi waliomchagua kama wameoma anafaa wataMpa tena na tenah tuliona hayo yakitokea monduli
 
Yap magufuli atasema na atazidi kusema kuwa anachukia mafisadi - hio ni juu yake Chenge kujipima kama yeye ni fisadi, Magufuli si Lowasa anayeshindwa kutamka neno fisadi tangu anaanza kampeni. Na usipoangalia Magufuli anaweza kumchana live Chenge.

ulishawahi kumsikia jk akitamka neno ufisadi? hawezi na hatolitamka kamwe
 
Mbona hushangai Ukawa wanavyoogopa kutamka neno fisadi mbele ya mheshimiwa
Maajabu haya, hizi ni dalili za ukawa kuishiwa! Wenyewe wametufundisha kuwa mwenye ushahidi aupeleke mahakamani.
 
Leo Jp Magufuli atakua viwanja vya Halmashauri Bariadi jimboni kwa Andrew Chenge,jambo kubwa linasubiriwa ni namna atakavyomnadi Mtemi Chenge kw sababu kila anapopita JP anasema atapambana na wanaotajwa kua mafisadi
nitawaletea kila kitu hapa

Amakweli CCM imetakasika...Leo mnasubiri kwa hamu kuona ccm kama itamnadi chenge ili wawe sawa na nyie Chagga-dema kama navyomnadi fisadi Lowassa? Ama kwe chagadema imevua gwanda na kuvaa gamba
 
Leo Jp Magufuli atakua viwanja vya Halmashauri Bariadi jimboni kwa Andrew Chenge,jambo kubwa linasubiriwa ni namna atakavyomnadi Mtemi Chenge kw sababu kila anapopita JP anasema atapambana na wanaotajwa kua mafisadi
nitawaletea kila kitu hapa

Akusema Chenge ni Fisadi na hastahili kuwa mbunge basi CCM itashinda

Chadema ndo waliua hii shoo siku walivyomteua Lowassa kuwa mgombea urais.
Wamekula matapishi yao woteeee.
Wotee wakapanda jangwani wanasema Lowasaa ni msafiiii tumemsamehe dhambi.
 
Hapo sasa,asisogelewe na hilo jizi vinginevyo ni usanii

[=Pius J. Kiwarya Lema;]Kutamka .au kutotamka
Sio issue
Kumnadi au kumkwepa sio jambo jipya kwani wrote Lao moja

Mtemi chenge ni mtuhumiwa wa ufisadi kama yeye!!!!!![

Rais ni Lowassa !;Ukawa 64%, Ccm 32% wengine 2%
 
Mi naona amnadi tu,Chenge ni mtetezi wa chama na ni mtemi wa bariadi
 
naingoja hio picha akimnyanyua mkono kwa ham sana.....tafadhali muwakilishi usiikose hio picha....bora usisikie anachosema alakin hio picha ipatikane.

Hujaziona picha za Chadema wakimnyanyua mkono kubwa la mafisadi? Naona mmevua gwanda na kuvaa gambaz
 

Attachments

  • 1442033652593.jpg
    1442033652593.jpg
    18.3 KB · Views: 145
Magufuli anafadhiliwa na mafisadi,ndio waliomchomekea ,na kuna msemo wa kialabu usemao -- anaekusaidia ndie bwana wako-- kwa maana unatakiwa umuheshimu hadi kufa kwako ,Magufuli ni lazima awahifadhi awalinde kama ulivyo msimamo wa chama chake kulindana,

Naona hiyo ndo falsafa mnayotumia chadema baada ya kuanza kufadhiliwa na fisadi Lowassa
 
Back
Top Bottom