Samahani NMB jana mlituma ujumbe kuwa "akuanti inyoishia 02042 imetoa 1200 kama hautambui muhala huu piga......" ambayo mimi kama miliki sijaitoa na benk yenyewe iko mbali. Sasa kama kuna uwezekano rudisha hele yangu hiyo pia tafuta mtu anayecheza mchezo huu mchafu na achukuliwe hatua.60601602042
Nakubari maneno ya pengo, raisi asiwe anayetumia fedha yake kutafuta Uraisi; lakini maskini wa kiwango gani!
kwa maoni yangu raisi akiwa maskini kwa maana ya maskini hatafaa kuwa raisi wa Tanzania
Mtumishi wa MUNGU aliomba hekima, hakuomba ulinzi na heshima ya dunia. yawezekana mleta mada amenukuu kipande tu cha mahubiri,ilikuwepo maana nyingine zaidi ya kukamatwa kwa mchungaji na askari wa cheo cha chini.KIMSINGI Askari aliyekula kiapo kulinda nchi dhidi ya maadui, kila mtu anayeweza...
video hiyo nina wasiwasi nayo,kwanza alyechukua video hiyo likuwa wapi na lin? pili mtu aliyelengwa ni nani? anayeonokana ni aliyeitwa rwakatare, W. kwa video hii haimuneshi anayepewa directives ina maana ilishindkana?tatu,aliyechukua video yawezekana akahusika moja2kwa sababu inaonekana yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.