Tabia yao kupenda sana mchezo wa kulala chali ule, afu unaingiza kitu katikati :hug::hug:.
Tabia ingine kupenda watoto, hata kama mtoto si wake anaweza kuiba wa mwenzie akasema katoka tumboni mwake.
Kwaiyo watoto wake ni wake na wa mwenzie ni wake.
Wanapenda kujibadirisha majina, jina la utotoni, jina la usichanani, jina la ukubwani, na kila atakapo amia anajipa jina lingine. Wamakonde hawapendi kuvunja ndoa, ila inatokea, so ndoa yake ikivunjika anajipa jina lingine maana anakua mtu mwingine sio yule wa zamani. Akiolewa tena anajipa jina lingine, maana hali imebadirika tena.
Hawapendezi, wanapenda kukata nywele zote. Yaani hawapendi kujipamba hata mumewe awe millionea, wataishi hivo hivo. Atakulika kujipamba inafaida gani? au atakuliza kwani atakufa kama hajipambi?
mtoto wa kike kujibadirisha sura na kujikoboa koboa haipendezi.
Mume wao wanamuona kama mungu wao, sababu mume ni msaidizi wa mke kulea watoto, kuchunga watoto, kubeba watoto, kucheza na watoto, kulisha watoto.
Tabia ya wamakonde, mtoto wa kike lazma aishi karibu na baba na mama, bibi, babu, mjomba na shangazi ili wamsaidie kulea watoto na kumprotect yeye na watoto wake na kumfundisha kukomaa, hasiaribike mtoto wa kike.
Msichana wa kimakonde akipata nafasi kwenda marekani kusoma, jamaa zake watadai na wao inabidi waende ili wakamlinde, mtoto wa kike kuishi bila mkubwa wake haipendezi.