Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 13,627
- 28,778
Kama umeenda shule,nakushauri hiyo kitu achana nayo kabisa
Umenena vyema kwa mtu alieenda shule habari za freemason ni uozo mtupu, wasio na chakufanya ndio wanaentertain haya mambo
Kama umeenda shule,nakushauri hiyo kitu achana nayo kabisa
Division 5 mkubwa wewe!!!!Afu we si umeingia humu June 5 wewe!!Sio kosa lako ukiwa mzoefu utabadilika.
Umenena vyema kwa mtu alieenda shule habari za freemason ni uozo mtupu, wasio na chakufanya ndio wanaentertain haya mambo
Tafuta maana ya Freemasonry.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.....endeleeni kushangaa upuuzi
wanacontrol maisha yako fungua macho
Mambo ya freemason ni nadharia za wapuuz waliokosa kazi.
Tafadhali kama una msimamo mkali wa dini ishia hapa usiendelee kusoma.
Nilikuwa kijiweni muda mfupi uliopita nacheza mchezo wa Draft. Kaja jamaa mmoja baada ya salamu jamaa mungine akauliza muda ili awahi kuondoka, akajibiwa kwamba ni saa moja na robo.
Sasa shida ikaanza kwa yule mgeni wetu, akatuuliza munawajua Freemasons? Nikajibu nawasikia kwamba ni mtandao wa matajiri wakubwa duniani. Jamaa akanicheka akasema umepotea kaka, hao ni waabudu shetani na wametushika kila kona. Nikambishia nikasema si kweli. Ndipo akaja na somo la saa au mfumo wa kusoma saa.
Akaanza kwa kuuliza sasa ni saa ngapi? nikamjibu saa moja. Akaniuliza hapo kwenye saa yako imeandikwa ngapi? Nikamjibu saba. Akasema emheeee hapahapo ndipo wametushika. Akauliza munajua kwa nini saa moja iandikwe saba? Nikajibu sijui. Akauliza munajua 666 alama ya mpinga kristo? Nikamjibu nasikiaga. Ndo sasa akaanza hesabu zake kama ifuatavyo.
1. Saa moja inaandikwa saba: 7-1= 6
2. Saa mbili inaandikwa nane: 8-2= 6
3. Saa tatu Tisa: 9-3= 6
4. Saa nne kumi: 10-4=6
5. Saa tano 11: 11-5 =6
6. Saa sita 12: 12-6= 6
7. Saa saba 13: 13-7=6
8. Saa nane 14: 14-8=6
9. Saa tisa 15: 15-9= 6
10. Saa kumi 16: 16-10=6
11. Saa kumi na moja 17: 17-11=6
12. Saa kumi na mbili 18: 18-12=6
Hapo akauliza mumenisoma? Wote tukajibu ndio mzeee.
Akasema kwa masaa 12 mengine Freemason wamefanya kama ifuatavyo.
1. Saa moja inaandikwa 19: 19-1=18=6+6+6
2. Saa mbili 20: 20-2=18=6+6+6
3. Saa tatu 21: 21-3=18=6+6+6
4. Saa nne 22: 22-4= 18=6+6+6
5. Saa tano. 23: 23-5= 18=6+6+6
6. Saa sita 24: 24-6= 18= 6+6+6
Hivyo kuanzia saa saba usiku inarudia tena kama hapo juu kabisa kuanzia namba 1-6. Hivyo tukabaki kimyaaa. Akasema ndo maana yeye hatumii mfumo wa 24hrs anatumia 12hrs system.
Sasa niwaulize wanajamvi kuna ukweli wowote hapa? Je nikweli Freemasons walivuruga saa makusudi? Je kuna ubaya kutumia 24hrs system?.
Dhehebu la kisabato limewaharibu wasabato wengi..
Habari za Wacheza Draft..
tuwe na tabia za kujisomea ili tuepukane na kudanganywa na kila mtu jamani,huyo mgeni wenu hana tofauti na wale waganga wa temeke walokamatwa na ch***pi a.k.a kufuli za dada zetu,huku wakipewa tiba kwa kutumia bomba kubwa,mkuu siku moja nilikaa pale nje kwenye jengo la freemason opposite na BOT kuna kijiwe cha kiwi pale,baada ya muda mfupi nilishuhudia akinamama wengi wakiingia ndani ya lile jengo wakaanza kuvutana na mlinzi kwa muda mrefu sana,Baadae wakaondoka nilipomuuliza yule watchman kulikoni alinijibu kwamba eti wale wakinamama walikuwa wameingizwa mjini na mtu huko street kwamba wampe mkwanja kdg ili awaunganishe na freemason ili wawe matajiri then waende makao makuu wakaanze kukinga mkwanja.....loooh nilipata mstuko mkubwa sn....
Mkuu wasabato wamekufanya nini! Naona thread nzima uko after their heads.
tuwe na tabia za kujisomea ili tuepukane na kudanganywa na kila mtu jamani,huyo mgeni wenu hana tofauti na wale waganga wa temeke walokamatwa na ch***pi a.k.a kufuli za dada zetu,huku wakipewa tiba kwa kutumia bomba kubwa,mkuu siku moja nilikaa pale nje kwenye jengo la freemason opposite na BOT kuna kijiwe cha kiwi pale,baada ya muda mfupi nilishuhudia akinamama wengi wakiingia ndani ya lile jengo wakaanza kuvutana na mlinzi kwa muda mrefu sana,Baadae wakaondoka nilipomuuliza yule watchman kulikoni alinijibu kwamba eti wale wakinamama walikuwa wameingizwa mjini na mtu huko street kwamba wampe mkwanja kdg ili awaunganishe na freemason ili wawe matajiri then waende makao makuu wakaanze kukinga mkwanja.....loooh nilipata mstuko mkubwa sn....
Hii Kitu kuna jamaa Mombasa amejirekodi Hata video yake ilishapostiwa humu akitoa mawaidha kuhusu hao Freemason, ila hana ushahidi wowote wa maana zaidi ya kuonesha hajui Historia kuhusiana na mfumo wetu wa kuhesabu ulichanganywa na wauza watumwa waarabu,
kwani sisi pekee ndio tunaoona kuwa saa moja inaanzia pale mshale unapogota kwenye 7am kwa english kwa mswahili ndio kazoeshwa kuwa moja ndicho kitu cha kwanza hatukuzoeshwa kuanza na saba ndio maana hata Jumamosi ilijadiliwa wakaona waiite Mosi yaani Moja hivyo ni wazee wetu tu ndio waliamua kitu cha kwanza kianzwe na 7 au Mosi na hii imetokana sana na Lugha ya kiarabu kwani Al-khamis humaanisha siku ya Tano ya juma,Ijumaa ni Sita na saba ni Sabbath ili kuifuta hiyo saba kwani inahusika sana na Muumba hizi Mbingu ikageuzwa masikioni mwao na ikaitwa Mosi yaani Jumamosi... Huu mfumo ni wetu pekee tuliowekewa na mababu zetu wakilazimishwa na Waarabu... haihusiani kwa namna yeyote ile na Freemason.
Mimi nimeshuhudia sana watu wageni kutoka nchi tofauti hustushwa sana na mfumo wetu wa kuhesabu wengine wakiwemo hao ma member wa Freemason...
Huyu Jamaa ni Muongo sana akidai Mitstubish ni kampuni ya Jackie Chan,Ronadinho ni freemason ,Nembo ya Vodacom ina alama za 666 n.k bul shait...