Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Jina Tanganyika halikubaliki...! Hata kama hao wenzentu wataamua kututenga kamwe tusiruhusu kuangukia kwenye mtego wao
Wewe hujaelewa mada au hujui historia ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar!
 
Tanganyika alipotelea ughaibuni tuu tukafikili alisha kufa!
Mwadera kawiza kinehe mayo huyo alishakufaga banaa tukubali tu..... wandugu labda useme tuchunguze kifo chake au tutafute upelelezi juu ya mauti ya marehemu. Hata kidogo hakupotea kama kwaida ya serkali ya awamu ya kwanza kuweka watu kiziuzini (detention)labda alikufiyemo humo. lakini haturudi nyuma tena Go Tz go!Mwangaluka kwa heri wajamaani.LONG LIVE TANZANIA.
 
Nchi hii ni vizuri ikarudia jina lake la asili TANGANYIKA, kwani tukili kataa ni sawa na Mtu analikana jina lake la asili (kikabila), na kujipachika la kigeni. Mfano Mtu anaitwa Kalumanzila akiingia mjini anajiita Buraza Kei!

Tusikatae majina yetu, mbona mikoa na wilaya mpya zinaitwa kwa majina yake yale yale. Kusema Tanganyika litaleta ubaguzi huo ni ujinga, litaleta ubaguzi kivipi? Labda kama tutatunga jina jingine kama walivyofanya Bukinafaso, Zimbabwe, Zambia nk.
Tanganyika lazima itambulike kama nchi kama ilivyo Zanzibar. Kuna baadhi ya mashirika na taasisi bado zinaitambua na kuheshimu Tanganyika mfano TFA = Tanganyika Farmers Associaton, Tanganyika Law Society, Tanganyika Bus n.k.
 
Tanganyika is abundantly blessed! Lkn kikundi cha watu wachache kiitwacho ccm ndo kimeharibu na kuifilisi km sio ku plunder rasilimali za nchi hii
 
kwa mjerumani Tanganyika manayake the land of minerals, fertile land! unalijua hilo?

sasa jina zuri hilo unalifuta kwa jina hamnazo au nothing? is it fair, say mtoto wako umemname kwa jina Tajiri then babu yake aje ampe jina masikini utaridhika au utaanzisha tifu?
mkuu kwani tanzania maana yake nini!?
 
The name "Tanganyika" is derived from the Swahili words tanga ("sail") and nyika ("uninhabited plain", "wilderness"). It might, therefore, be understood as a description of using Lake Tanganyika: "sail in the wilderness".[SUP][1][/SUP]
 
The name "Tanganyika" is derived from the Swahili words tanga ("sail") and nyika ("uninhabited plain", "wilderness"). It might, therefore, be understood as a description of using Lake Tanganyika: "sail in the wilderness".[SUP][1][/SUP]

that is according to the english dictionally, i gave a homework up here! ask the germans how do they define the same name!
 
KASIMBA maana ya jina haitokani na lugha ingine bali na lugha iliyotumika kuliunda il jina not otherwise kwao inaweza wakarelate tuu na haitaleta maana yoyote
 
I like Tanganyika - the blessed land full of minerals and soil fertility. Naunga sana mkono iwe ni TANGANYIKA.
 
Ki historia wakati ujerumani inajigawia Tanganyika kuwa koloni lake, ilikuwa super power, jambo la kujiuliza ni kwa nini super power ya wakati huo ikaamua kuacha sehemu nyingi tuu za africa na kujimegea Tanganyika?

Tunakumbuka pamoja na u super power wake ujerumani pia walikuwa na ushawishi zaidi, walikuwa kaka mkubwa ndio maana hata mkutano wenyewe wa kuligawa bara la africa ulifanyika kwao berlin.

Maswali ya kujiuliza ni kwanini kaka mkubwa akaamua kujigawia Tanganyika? Jibu ni rahisi tuu, Tanganyika is the blessed land, wajerumani wanalitambua hilo ila maajabu ni kwamba sisi waTanganyika hatulitambui, tena wengine mpaka leo hii.

Kama nchi kosa kubwa lilofanya ni kufuta jina la ubarikiwa tulilopewa na Mungu na kuambatana na jina la laana sijui tulilopewa na maono ya mwanafunzi!

Hebu tuirudishe nchi yetu iliyo barikiwa and tuone reaction toka kwa Mungu!

God bress Tanganyika, God bress Africa!
Baba wa muungano ni Tz bara na jina la Tanzania ni jina la ubatizo la Tanganika kwani kule visiwani panaitwa Zanzibar na kule UN wanatambua Tanzania sasa Kama zenji ikitokea wakajitenga jina la Tanzania litabakia huku kwenye watu million 44 wale watu million 1.5 watabaki na jina Zanzibar
 
Nchi hii ni vizuri ikarudia jina lake la asili TANGANYIKA, kwani tukili kataa ni sawa na Mtu analikana jina lake la asili (kikabila), na kujipachika la kigeni. Mfano Mtu anaitwa Kalumanzila akiingia mjini anajiita Buraza Kei!

Tusikatae majina yetu, mbona mikoa na wilaya mpya zinaitwa kwa majina yake yale yale. Kusema Tanganyika litaleta ubaguzi huo ni ujinga, litaleta ubaguzi kivipi? Labda kama tutatunga jina jingine kama walivyofanya Bukinafaso, Zimbabwe, Zambia nk.

Tanganyika lazima itambulike kama nchi kama ilivyo Zanzibar. Kuna baadhi ya mashirika na taasisi bado zinaitambua na kuheshimu Tanganyika mfano TFA = Tanganyika Farmers Associaton, Tanganyika Law Society, Tanganyika Bus n.k.


Tafadhali msinielewe vibaya ndugu zangu. Kwa siku karibu nne nimejishughulisha sana na hili jambo la Muungano wetu humu JamiiForum. Hata sina hakika kama najua kwanini limenihusu sana jambo hili. Nimejibizana na Wazanzibari wengi humu ndani na kujifunza kitu naomba tafadhali niwashirikishe ni kipi nimejifunza humu.

Wazanzibari wanasumbuliwa na shida mbili katika muungano: Hofu ya kupoteza culture yao ya Uislamu, na hali duni ya kiuchumi ambapo vyote viwili wanadhani vimeletwa na Muungano. Lakini nataka niseme hivi: Nimejifunza humu JF pia, kwamba wapo Wazanzibari ambao wanawahesabu watu wa bara ni ndugu zao, na wanalipokewa kabisa wazo la serikali moja. Ila sauti zao zipo chini hazisikiki kama zile za wanaokataa na kupayuka hovyo.

Kumbukeni ndugu zangu mara nyingi sana hutokea sauti ndogo ndiyo sauti ya amani. Nadiriki kusema Tanganyika tunaitaka kwa hasira ya kusumbuliwa sana na wapigakelele wa Zanzibar. Lakini nimejifunza kuwa Si wazanzibari wote wanaafikiana na kelele hizo. Hizi kelele linaweza likawa jaribu tu kupima udugu wetu katika taifa hili.

Tukizungumza namna ya kuyaelekea mahusiano ya dini zetu na jinsi ya kupunguza umaskini katika nchi yetu, unaweza ukute hasira hizi hazina maana kabisa. Naipenda Tanganyika yangu sana, lakini Tanzania tulivu yenye upendo na kuvumiliana katika imani zetu ni nzuri pia.
 
Wadanganyika kama mliweza kuizika tanganyika hai kwa ujinga wa mtu mmoja basi jiandaeni kuizika tanzania mfu.
 
Wewe hujaelewa mada au hujui historia ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar!

Mkuu nina hakika wewe utakuwa umesoma post moja hiyo uliyo nukuu...kama ungefuatilia jinsi tulivyokuwa tunaeleweshana na Kasimba G katika huzi huu wala husinge lalamika hivi
 
Last edited by a moderator:
KASIMBA maana ya jina haitokani na lugha ingine bali na lugha iliyotumika kuliunda il jina not otherwise kwao inaweza wakarelate tuu na haitaleta maana yoyote

kwanza nikujuze kitu! wajerumani au hata wanyakyusa kama wewe unaweza tohoa neno sehemu nyingine na ukatumia kwa maana nyingine kabisa, mfano neno tapeli ukihusanisha na mji wa Taiwan lakini kwa maana ya laghai huku kwetu!
 
Tanganyika Tanganyika,
Nakupenda kwa moyo wote,
Nchi yangu Tanganyika,
Jina lako ni tamu sana.
Nilalapo nakuwaza wewe,
Niamkapo ni heri mama weee,
Tanganyika Tanganyika
Jina lako ni tamu sana.

Three, four, start
 
Wadanganyika kama mliweza kuizika tanganyika hai kwa ujinga wa mtu mmoja basi jiandaeni kuizika tanzania mfu.
Sisi ni waelevu zaidi yenu, suala si ni kipato? Mnapata kiasi gani?
 
Tanganyika Tanganyika,
Nakupenda kwa moyo wote,
Nchi yangu Tanganyika,
Jina lako ni tamu sana.
Nilalapo nakuwaza wewe,
Niamkapo ni heri mama weee,
Tanganyika Tanganyika
Jina lako ni tamu sana.

Three, four, start

great!
 
Haya niliyaandika kwingine , nayarudia hapa:

Utumwa huo pimbi wewe.. Unakataa mpaka jina lako u ajipendekeza na na sisi.. Au unapenda hiyo zannnnn huh.... Aibu mtu mzima hiyo wacga kukataa unyika wako huo.. Jina limekaa kimsitu msitu kinoma mpaka mwenyewako unaliogopa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom