Recent content by Ngagarupalu

  1. Ngagarupalu

    Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika

    Hapo kwenye red, Mohamed Said, akiulizwa, na wakati wajibu, yeye hutoa upande ambao wengine hawajausema. Swali kwanini wewe ujue kile tu ambacho hata waliokuwepo hawajakisema? ila kwamba hawataki kukisema? unaweza sema kwa nini Ahmed Rajab na wengine wasiandike juu ya hao wamakonde wako? Ni...
  2. Ngagarupalu

    Movement for change ndo hiyoo inaanzia ndani ya CHADEMA from hero to zero

    hao vijana wanatoka lini? nani aliwaningiza chamani? na kwa nini wanatoka? je wataenda wapi na kufanya nini? kwa nini walijiunga chamani? mleta maada, hebu acha kuja na jaziba mnatapotezea muda kufikiria nyepesi nyepesi, toa tahdhmini kamili.
  3. Ngagarupalu

    Ubaguzi CRDB

    umeona?? mwingine alikuja kukusanya majadala na kajibu wote, kisha kapewa like!!! nilijua kafunga kumbe unaendelea!! Kazi ipo.
  4. Ngagarupalu

    Toyota vx limited inauzwa cheki bei hapa

    mkuu hiyo nyumba yapo ukipanga bei ni PM.
  5. Ngagarupalu

    New salary scale bank officer

    650.000 hela ya kitanzania, ingawa inategemea bargaining power yako
  6. Ngagarupalu

    Mkutano soko kuu Mtwara- muendelezo wa gesi.

    kwenye red, ndo maana wanataka Processing ifanyike mtwara/Lindi Ili investors wavutiwe kujenga karibu na resources!!! nadhani hiyo ndo mojawapo ya madai ya msingi.......jst thinking loud
  7. Ngagarupalu

    New salary scale bank officer

    benki gani? una qualification gani?
  8. Ngagarupalu

    Mdahalo: Je, Tunahitaji UVCCM na BAVICHA Kwa Kiasi Gani?

    Mchambuzi hongera hii maada!! Awali ya yote nina jua kisheria mahakama imeruhusu uundwaji wa baraza la wanawake tanzania, ila sijui kama nani kwa sasa yupo tayari kusimamia uundwaji wake. Yule mama Profesa ndo hivyo tena, ametumia msemo wa wazungu "if you cant.... join them". Swali langu je kuna...
  9. Ngagarupalu

    Msaada: Penzi La Aunt (shangazi) linanitoa roho ...

    una muda gani tangu uanze kumgegeda? nini kinacho kufanya kumchukia/kutompenda sasa ( zaidi ya abortion) ? ukijibu hayo ndo nitakushauri 0.5%
  10. Ngagarupalu

    Uandishi wa habari huu wa mwananchi unanitia shaka!

    Mkuu tumia neno jingine hiyo uliyo fanya siyo....typos, ina jina jingine, utakuwa umechanganya tu. ngoja watalaam waje!!
  11. Ngagarupalu

    Je, Waziri Mulugo amemaliza utata wa jina lake?

    Hilo jina la Hamimu Augustino lina matokeo gani hapo songea boyz!?? tuendelee kuanzia hapo
  12. Ngagarupalu

    Je, Waziri Mulugo amemaliza utata wa jina lake?

    hivyo Mlugo alifaulu form IV, au unakumbuka alijiunga hapo Songea boys na matokeo gani?. Huyu Omary Mjenga ndiye yule alisoma UDSM BA ps ?. Politik anaweka politik, kwa nini asiende huko Song boys kujua
  13. Ngagarupalu

    Je, Waziri Mulugo amemaliza utata wa jina lake?

    wewe ni mwandishi, mchunguzi au mdadisi? kama ulipata nafasi ya kuongea na Mh Mlugo hayo si maongezi kamili, wala usingeleta hapa taarifa (labda kama nia yako ni kuona upepo). Hebu muulize kaka/dada Mkuu wenu, mwl mkuu na mwl wa taaluma. Kisha ki ujumla matokeo yalikua je? yaani div one all to...
  14. Ngagarupalu

    Ubaguzi CRDB

    Mleta uzi pole, jipange tena, hiyo ndo biashara! wana jf Mtoa mada apewe, benefit of doubt, naona wengi mna tafuta kajiunga lini, badala ya kutafiti ukweli ndani ya ujumbe wake. 1. hawezi kuwa ameropoka tu, ila fikiria mfanya biashara umepewa ahadi na Branch manager kuwa utapata hiyo tenda...
Back
Top Bottom