Ubaguzi CRDB

Ubaguzi CRDB

Kanda ya ziwa ni kubwa mno ina maana kuanzia Shinyanga, Mwanza, Musoma, Kagera na siku hizi kuna sijui Sia muyu na Geita zinazogawanya maeneo ya Kanda ya ZIwa na huko Ukanda wa Kusini. Sasa kote huku tatizo ni lile mpaka Wachagga wajenge nyumba ndipo CRDB wafungue matawi? Ni hitimisho lililokosa mantiki maana nanusa harufu ya ubaguzi na sababu za kutunga. Halafu kama lengo lingekuwa ni hilo si mkurugenzi angetoa mikopo ili majengo yajengwe na ndugu zake hao? Haiwezekani matawi yakashindwa funguliwa na hali wateja wapo wa kutosha wa kuhudumiwa na matawi hayo kwa sababu hakuna majengo ya Wachaga. Tupe research areas, size of population
interviewed na ikibidi aina ya watu hao in terms of their education level, profession gender na kabila japo sio muhimu maana contextuosly umekuwa influenced na hilo kwenye bandiko lako

wewe unaonekana kama mwalimu wa open universtity!!! manake hayo maswali yako hapo chini!!teh, natania tu.
ndugu najua kanda ya ziwa ni kubwa, sijataja wilaya zinazohusika na ubaguzi huo kwa sababu maalum, ninalinda hadhi ya waliotoswa nyumba zao kuchukuliwa. ninajua watu wazima wenye nafasi za juu serikalini watanielewa ninachomaanisha. kumbuka waandishi wa habari walizuiwa kuandika kesi ya rais mstaafu mwinyi kumdai mtu kodi ya pango. haya mmbo yana matokeo yke, vijana wa leo hawatanielewa.
huyo maneja wa mkoa husika alimchana live kozi naye alienda kibosibosi. binafsi lengo lilikuwa kufikisha huu ujumbe sehemu muafaka kupitia jf, natumai umefika. kukiwa na impact ya wazi ntawapa mrejesho.
watumishi wa vyeo vya kati CRDB watakuwa wanajua ninachoongelea hapa, ili wengine wanaopenda changia kila topic hawajui ninachomaanisha.
huo ubaguzi upo sana, na huko lake zone kunamgogoro huo, kama hayakuhusu soma then tulia.
 
CRDB kuna ubaguzi ktk upangishaji wa nyumba kanda ya ziwa ni tuhuma nzito na hazipaswi kupuuzwa,wengine wanadai hata ktk ajira,kupata ajira au kupata promotion ni lazima uwe wa huko,umeoa au kuolewa na mtu wa huko narudia tena hizi ni tuhuma ambazo wkt mwingine chanzo chake ni majungu na wivu ila wenye mamlaka wazichunguze maana lisemwalo.......Pili nchi inaongozwa na serikali ya CCM na sio hao uliosema wach....

ni kweli, lengo lango ni kutaka ziwafikie wenye mamlaka, najua hapa jf zitafika tu.
ndugu ndo wenye nchi hawa, nawaaminia sana manake wakikamata nafasi wanasafisha wengine wanajaa wao tu, wanabebwa na wengi wao kusoma sana. kama huamini mmoja wao apewe wizara yenye least changa workers, njoo assess baabda ya miaka 5, yaani hadi walinzi na wafagizi wote watakuwa wa klm.
hawa ndo wenye nchi, na kama upo makini kinachoitwa mfumo kristo wala cyo upendeleo kwa wakristo, ni upendeleo kwa chaga ambao wengi sana ni wakristo. hii nchi wakristo wengine wanaumia kirahisi. wanakila kitu, toka chama cha siasa,media zote.
 
Tuwekee mabua ya majibu uliyorudishiwa yenye majibu yasiyo na kichwa au mguu ili tuamini, kikubwa ukiweza ondoa jina lako! Pole kwa kupigwa chini ingawa bado nina mashaka mengi na utafiti wako wa kusikia ... kikubwa acha kulalamika kwa vitu ambavyo hauna ushahidi navyo wa kutosha kwani kama CRDB hawataki kupangisha nyumba yako et co we si m.....ga, then unaweza kuifanyia biashara nyingine!:A S angry:

duh! naona unahasira kweli, wewe lazima utakuwa mwenyeewe, mnabagua kweli. shida yenu hamtaki kuambiwa ukweli, sasa nikiweka jina ndo mmuanze kumchunguza na igp mwema. ila nyie ndo mfumo kristo unaolalamikiwa na waislam. fuatilia waomba ajira, wanamwaga mtaani asume wachaga ni 35%, ila fuatilia baada ya mwaka, wachaga 1% ndo watakuwa hawajaajiliwa ofc za serikali. wale wengine 65% labda 15% ndo watakuwa wameajiliwa serikalini. sasa fuatilia, gpa zetu zote ndo zile za gentlemen.
acheni ubaguzi, mtaipeleka nchi hii vitani.
 
Mleta uzi pole, jipange tena, hiyo ndo biashara!
wana jf
Mtoa mada apewe, benefit of doubt, naona wengi mna tafuta kajiunga lini, badala ya kutafiti ukweli ndani ya ujumbe wake.
1. hawezi kuwa ameropoka tu, ila fikiria mfanya biashara umepewa ahadi na Branch manager kuwa utapata hiyo tenda ghafla inayeyuka, unadadisi hilo linakuwa jibu ...wewe siyo mch...ga, lazima utapata ghadhabu n.k
2. Binafsi nina ushahidi wa upendeleo wa ukabila kwenye benki ile, hasa kwenye kuajiriwa na pia kupata promotions!!
3. Kuwepo kwa vyeo vya Ch..pi ndani ya benki hiyo ni jambo lenye kueleweka, hasa kwa waliomo ndani wanajua.
Mwisho, siyo Wachaga wachache, mfano Dr Kimei na kundi lake wakiwa na upendeleo ndo wachaga wote, siyo kweli, LAKINI ukweli ndani ya CRDB uchaga upo tena mkubwa. siyo wakutafuta wala kuuliza, upo wazi, ukifatiwa na upendeleo. Hivyo wachaga msijisikie vibaya na kuanza kumtetea kisa mch..ga mwnzenu ndo anafanya hivyo.
Dr Kimei amekaa pale muda mwingi inatosha, wengine hapa wanamsifia ila kiukweli uwezo wake umeanzaku-diminish on creating new things, he has to step down vingine hizi kashafa zitamtia doa na kuharibu yote hata mazuri aliyo fanya. Kwa wanaojua jua CRDB image ya 1997-2007 watakubaliana na mimi wakilinganisha na hii ya 2010
0.5%

asante, umenisaidia sana. wanaoulizia nimejiunga ln wasome mistari ya mwisho kwenye uzi wangu, asanteni wanajamvi wenzangu. naamini hapa jf ujumbe utawafikia wahusika. pia niwapongeze ndugu zangu wa klm, wengi wamenivumilia hawajanishushia matusi, manake hmumu jf ni wengi ajabu, kama wafuasi wa cdm mwanza.
 
Nenda muhimbili ukaone madokta wanavyowabeba wanafunzi wa kichaga wa medicine au chuo cha ifm

mh! umenikumbusha nilivyokutana na daktari mmoja aliyemaliza muhimbili univesity anavyolalamikia ubaguzi wa wawazi kwa students na wafanyakazi, anadai kuna profesa mmoja idara ya macho anaitwa kinabo, ndo kinala wa upendeleo, wanafunzi wa masters akipita kwake kama ni mchaga ataishiwa kuulizwa roots ya ukoo wao, wala hataulizwa lolote kuhusu macho, na anapewa A. mwingine pita,utajuta kwenda kusoma kozi yao. Bado kule kwenye mabalaza ya kuapruviana kuwa maprofesa, kama siyo mchaga utasota. mfano mzuri walioonja hiyo joto ya jiwe ni prof. abudi wa microbioloji.linganisha na prof kilaza kama prof. matee wa idara hiyohiyo, iq yake medium ila sas uprof kamegewa kitambo sana. pia bado kuna ubanaji mkubwa wa mtu asiye mchaga ambaye ni lecturer pale kupewa PHD kwenye idara hiyohiyo ya microbiolijia.
wanabagua sana students hasa clinical years, hiyo imepelekea wanafunzi watz wenye asili ya india ambao wanatokea kuwa wazuri sana kuishia kuwa na overall GPA ndogo kwasababu ya ubaguzi. mifano hai wanayotolea ni dr. faimu(MUHAS 2009), dr. siptein(MUHAS 2011).
ndugu ukabila wa MUHAS ni donda, taarifa nilizonazo ni nyingi, ntaishia hapo. labda mtu akija ajaribu kubisha ntarudi nitiririke zaidi.
 
Mkuu tumwagie huku tuondoe ukabila kwenye hii nchi

wanajua kutafuta maisha, na wanafanya pia kiharamu. ila wakiambiwa wnafanya kiharamu wanakuwa wakali.
manesi wengi wa vyeti toka huko wanasomea vyeti vya watu, kama hufanyi nao kazi kwa karibu usichangie. ndo ukweli huo. sasa hiyo ni obseversinal. ila kuna mjinga atakuja hapa ananiuliza hebu taja dodoso uliyotumia, umehoji wangapi. ujinga tu, watu wanafikiri wamesoma wao tu.
 
umeona?? mwingine alikuja kukusanya majadala na kajibu wote, kisha kapewa like!!! nilijua kafunga kumbe unaendelea!! Kazi ipo.
 
Tutawachokonoa mpaka mujifahamu tabia yenu
 
wewe unaonekana kama mwalimu wa open universtity!!! manake hayo maswali yako hapo chini!!teh, natania tu.
ndugu najua kanda ya ziwa ni kubwa, sijataja wilaya zinazohusika na ubaguzi huo kwa sababu maalum, ninalinda hadhi ya waliotoswa nyumba zao kuchukuliwa. ninajua watu wazima wenye nafasi za juu serikalini watanielewa ninachomaanisha. kumbuka waandishi wa habari walizuiwa kuandika kesi ya rais mstaafu mwinyi kumdai mtu kodi ya pango. haya mmbo yana matokeo yke, vijana wa leo hawatanielewa.
huyo maneja wa mkoa husika alimchana live kozi naye alienda kibosibosi. binafsi lengo lilikuwa kufikisha huu ujumbe sehemu muafaka kupitia jf, natumai umefika. kukiwa na impact ya wazi ntawapa mrejesho.
watumishi wa vyeo vya kati CRDB watakuwa wanajua ninachoongelea hapa, ili wengine wanaopenda changia kila topic hawajui ninachomaanisha.
huo ubaguzi upo sana, na huko lake zone kunamgogoro huo, kama hayakuhusu soma then tulia.
nakumbuka hii kauli ya mkuu wa nyumba "kasikazini mtaendelea kusubiri" hii kauli haijamtoka bahati mbaya
 
wewe unaonekana kama mwalimu wa open universtity!!! manake hayo maswali yako hapo chini!!teh, natania tu.
ndugu najua kanda ya ziwa ni kubwa, sijataja wilaya zinazohusika na ubaguzi huo kwa sababu maalum, ninalinda hadhi ya waliotoswa nyumba zao kuchukuliwa. ninajua watu wazima wenye nafasi za juu serikalini watanielewa ninachomaanisha. kumbuka waandishi wa habari walizuiwa kuandika kesi ya rais mstaafu mwinyi kumdai mtu kodi ya pango. haya mmbo yana matokeo yke, vijana wa leo hawatanielewa.
huyo maneja wa mkoa husika alimchana live kozi naye alienda kibosibosi. binafsi lengo lilikuwa kufikisha huu ujumbe sehemu muafaka kupitia jf, natumai umefika. kukiwa na impact ya wazi ntawapa mrejesho.
watumishi wa vyeo vya kati CRDB watakuwa wanajua ninachoongelea hapa, ili wengine wanaopenda changia kila topic hawajui ninachomaanisha.
huo ubaguzi upo sana, na huko lake zone kunamgogoro huo, kama hayakuhusu soma then tulia.
nakumbuka hii kauli ya mkuu wa nyumba "kasikazini mtaendelea kusubiri" hii kauli haijamtoka bahati mbaya
wanajua kutafuta maisha, na wanafanya pia kiharamu. ila wakiambiwa wnafanya kiharamu wanakuwa wakali.
manesi wengi wa vyeti toka huko wanasomea vyeti vya watu, kama hufanyi nao kazi kwa karibu usichangie. ndo ukweli huo. sasa hiyo ni obseversinal. ila kuna mjinga atakuja hapa ananiuliza hebu taja dodoso uliyotumia, umehoji wangapi. ujinga tu, watu wanafikiri wamesoma wao tu.
kweli umesoma hahahaha " obseversinal."
 
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.

Siamini kama kuna siku Wachaga wataacha ubaguzi. Wanazaliwa na roho safi kabisa, tatizo ni makuzi. Wanakutana na watu ambao mafanikio yao yalitokana na upendeleo na kujikuta wanaingia mtegoni.
Ubaguzi wa CRDB ni wa siku nyingi. Mikopo ya mahoteli ilikuwa ni kwa ajili ya wachaga, kibaya zaidi hawayajengi Uchagani, wanakimbilia mikoa ya wengine! Tunawaangalia tu!
 
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.
Wewe nifungu lakukosa nastaendelea kulalama maisha yote pia elimu na upembuzi wa mambo kwako bado


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wachaga wamesoma sana! wapi walikosoma? hizo certificate za CBE na IFM?
 
Back
Top Bottom