Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Ukabila? Hii nchi ni kama bomu linalo subiri kulipuka, maana huku kina uamsho wanaleta yao, mara huku ukabira kweli tuta enda kwa mtindo huu?
Tuhuma nzito hizi, na inaonyesha umeandika ukiwa na jazba sana, ndiyo maana sentenso zimekaakaa kiajabuajabu.
Hata hivyo siamini kuwa mtu anaweza kujibiwa Live namna hiyo!...labda una matani naye!
CRDB kuna ubaguzi ktk upangishaji wa nyumba kanda ya ziwa ni tuhuma nzito na hazipaswi kupuuzwa,wengine wanadai hata ktk ajira,kupata ajira au kupata promotion ni lazima uwe wa huko,umeoa au kuolewa na mtu wa huko narudia tena hizi ni tuhuma ambazo wkt mwingine chanzo chake ni majungu na wivu ila wenye mamlaka wazichunguze maana lisemwalo.......Pili nchi inaongozwa na serikali ya CCM na sio hao uliosema wach....
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.
hivyoo. kwa hiyo na lili jengo la branch ya burundi ni la mchaga? na hizo branch ambazo zipo kwenye majengo ya taasisi ya serikali kumbe nayo wachaga wanaumiliki huko eeh?
alafu mbona mabenki yapo mengi mbona wasiwafuate na wao wakafungua mabranch huko?
CRDB miaka ya 90. Hakuna hata aliyekuwa akiijua kwanza, ilikuwa ni benki iliyodharaulika sana. Kaja Dk.Kimei kaibadilisha sana na kuifanya kuwa benki inayojiendesha kwa faida na kila mtu hapa ni shahidi. Inavyoelekea mtoa uzi ameandika lakini taarifa zake hajazifanyia utafiti. Kweli inawezekana Dk Kimei akawa mchaga lakini akaajiriwa mchaga kwa sifa zake kulingana na mahitaji watu wakaanza kuzusha. Wapo waliomzushia huyu mzee na kashfa kadha wa kadha za rushwa za ngono. Naona hizo zimekosa mashiko wanakuja na za ukabila. Mnyonge mnyongeni...Haki yake mpeni. Bila Dk Kimei CRDB ilikuwa imeshaonekana kimeo tu kwa watanzania enzi za Mwinyi.
Nenda muhimbili ukaone madokta wanavyowabeba wanafunzi wa kichaga wa medicine au chuo cha ifm
CRDB miaka ya 90. Hakuna hata aliyekuwa akiijua kwanza, ilikuwa ni benki iliyodharaulika sana. Kaja Dk.Kimei kaibadilisha sana na kuifanya kuwa benki inayojiendesha kwa faida na kila mtu hapa ni shahidi. Inavyoelekea mtoa uzi ameandika lakini taarifa zake hajazifanyia utafiti. Kweli inawezekana Dk Kimei akawa mchaga lakini akaajiriwa mchaga kwa sifa zake kulingana na mahitaji watu wakaanza kuzusha. Wapo waliomzushia huyu mzee na kashfa kadha wa kadha za rushwa za ngono. Naona hizo zimekosa mashiko wanakuja na za ukabila. Mnyonge mnyongeni...Haki yake mpeni. Bila Dk Kimei CRDB ilikuwa imeshaonekana kimeo tu kwa watanzania enzi za Mwinyi.
Na ndio kabila linaloongoza kwa wizi wa mitihani na upendeleo kuanzia secondary hadi vyuo vikuu. Hasa udaktari muhimbili. Ninao mfano hai