Recent content by NewGapi

  1. NewGapi

    Msaada: Mke wangu mtarajiwa anawasiliana na ex wake, nifanyeje?

    Naona unataka kujenga kwenye kiwanja chenye mgogoro. Ishara zote hizo bado unakaza fuvu?
  2. NewGapi

    Utaratibu mpya wa kuweka token za luku ni wa kijinga, duni na unaleta usumbufu

    Mkuu, mwanasheria hahakiki vyeti, Bali anathibitisha Ile nakala ni nakala ya orijino.
  3. NewGapi

    Balozi wa Uingereza nchini atembelea Makao Makuu ya Yanga SC

    Huyo balozi kaanzia Simba masaki, then Bunju now ndo jangwani
  4. NewGapi

    Nahitaji bank statement

    China ni moja ya visa rahisi. Ukijaza vizuri online, na ukawa na ID ya mchina kazi kwisha, hata bank statement hawachukui. Kuna mtu nimemsaidia bank statement na barua ya kampuni, kufika kwenye interview wakamrudishia bank statement bila hata kuiangalia.
  5. NewGapi

    Rekodi nyingine yawekwa na Rais Samia. Aanza kuwapa Mikopo Wanafunzi wa Diploma. Kapu lao la Bilioni 48 lafunguliwa

    48,000,000,000÷8,000= 6,000,000.00 Je kila mwanafunzi anatumia 6,000,000 kwa mwaka kwa Diploma?
  6. NewGapi

    Nimekutana na changamoto hii nikifuatilia passport, naombeni ushauri

    Mleta mada ni mvivu, anapenda shortcut. Unasema umezaliwa mwaka 1993, ulivopewa leaving certificate ya 1994 kwanini hukukataa au kuomba marekebisho? NIDA waliokuwa wanachukua taarifa ni watu waliajiriwa haraka haraka wengine bila kujua vitu vya muhimu. Huyo officer wa uhamiaji ndiye anajua...
  7. NewGapi

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Nadhani unamaanisha @wigeleko
  8. NewGapi

    Msaada tafadhali kuhusu Bima ya magari mtandaoni

    Kulipa kwa awamu ni expensive zaidi, kama anaweza tafuta sehemu alipe kwa mwaka mzima. Kama kumbukumbu zangu zipo sawa miezi 6 unalipa 75% ya gharama, na miezi mi3 unalipa almost 50% ya gharama za mwaka.
  9. NewGapi

    Bro hafai kabisa. Ukweni wamechoka sana. Hawana hamu

    Tukio la last week, mtu kashabeba ujauzito mara mbili hadi leo. Asante mleta uzi.
  10. NewGapi

    TRA unahimiza matumizi ya EFD halafu mnawazimia wafanyabiashara kuzitumia kwa Ujumbe 'Device Blocked by TRA'

    Mkuu EFD machine ni bure, Kuwa ukinunua, unatakiwa kuidai katika malipo yako ya kodi ya mbele. Mfano ukafanya makadirio ya mwaka ukatakiwa kulipa kodi laki 9, unatoa hiyo 580k then unalipa iliyobaki. Kwa wenye VAT unakata kwenye VAT amount yote. Lakini ufanye hayo au utoe taarifa ndani ya...
  11. NewGapi

    TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

    Hadi juzi alikuwepo DPC, alikuwepo ibadani jumapili. Mzee wake hakuwa mchungaji bali mzee wa kanisa.
  12. NewGapi

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Kuna mdau anaenda, anaondoka sa 6 au 7 mchana.
  13. NewGapi

    CIF ya gari vs calculator ya TRA

    Wanaangalia CIF kubwa kati ya hizo 2, then kubwa ndo itatumika
  14. NewGapi

    Foleni ya magari leo Jumapili huko Mikese haihusiani na mizani

    Mkuu ninavyo andika nipo mikese kwa mbele kuelekea Dar, tumekaa masaa mawili bila kusogea. Waliokuwa mdaula sa 8 mchana ndo wamepita hapa kama nusu saa iliyopita. Hali ni mbaya sana.
  15. NewGapi

    Ni sahihi kuingiza bidhaa sokoni ikiwa umebaki mwezi mmoja kuexpire?

    Maziwa ya pakti mtindi yote yana expire ndani ya mwezi. ( Asas, Tanga Fresh, Dar Fresh, Kilimanjaro etc) Maziwa fresh ambayo hayajaongezwa preservatives yana expire ndani ya siku 7. Yaliyowekwa preservatives ndani ya miezi mi3. Ndio maana si maduka yote utakuta maziwa fresh au mtindi ya...
Back
Top Bottom