Foleni ya magari leo Jumapili huko Mikese haihusiani na mizani

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,590
22,200
Leo Jumapili nimekumbana na foleni huko Mikese Moro, foleni hiyo iliyofuma magari yatokayo na yaendayo Moro, Mizani ya Mikese nayo ilikuwa katikati ya foleni huku ikiwa imefungwa, na ikumbukwe inahidumia magari kuanzia tani tano na kuendelea.

Magari yalichukuwa zaidi ya saa mbili yakiwa yamesimama bila kujua chanzo cha tatizo! Mimi niliondoka Dar saa sita mchana na nilifika Msamvu Moro saa kumi na mbili na nusu jioni huku tukishangaana kulikoni!
 
Mkuu ninavyo andika nipo mikese kwa mbele kuelekea Dar, tumekaa masaa mawili bila kusogea.

Waliokuwa mdaula sa 8 mchana ndo wamepita hapa kama nusu saa iliyopita.

Hali ni mbaya sana.
 
Mkuu ninavyo andika nipo mikese kwa mbele kuelekea Dar, tumekaa masaa mawili bila kusogea.

Waliokuwa mdaula sa 8 mchana ndo wamepita hapa kama nusu saa iliyopita.

Hali ni mbaya sana.
Nami nilikuwepo na hapo kwenye mizani za Mikese hapakuwa na gari zaidi ya wafanyakazi wa mizani waliokuwa wamekaa sehemu ya yanaposimama magari nao wanashangaa kinachoendelea, kuna watu wstaihusisha mizani wakati haihusiki.
 
Endeleeni kuteseka huko mikese, maseyu, mwidu, mdaula ndio starehe yenu mpate na kupatwa kwa mbu wala damu
 
Unayajua magari laki tano?
Hebua acha upotoshaji,
Barabara inayohudumia magari mengi kwa siku ni kibaha high way 75k vehicles per day kwa mujibu wa nbs
Acha upumbavu mkuu,mtoa hoja hajaandika magari laki 5,alichokiandika ni magari ya kuanzia 5T lazima yapimwe mizani!
 
U feel better now!!,next time elewa kuna tofauti kubwa ya magari 500,000 na vehicles above 5T
Kilichotokea sikuelewa na sio kwamba sijui tofauti ya hivyo vitu,hukupaswa kunikumbusha kwa kuniita mpumbavu,
Acha ulimbukeni kijana
 
Back
Top Bottom