Umeandika vzr ila ni ktk theoretical point of view inapokuja kwenye uhalisia, jambo la wananchi kushiriana na polisi ni gumu sana kwa sababu ktk polisi wenyewe kuna majambazi wengi tu( na hata polisi wenyewe wanafahamiana ila hawachujui hatua yoyote ya kudhibiti) pia kumbuka huyo jamaa aliyeuawa...
Unaweza ukawa hauko sahihi kwa kiac fulani kwa sababu km Mungu mwenyewe kawaweka manabii dunian ww mwanadamu unawezaje kuwakataa? Ni kweli manabii wa uongo wapo, la muhim ni kutokwenda kiholelaholela kwa sababu kwa kufanya hivyo unaweza kukutana na manabii wa uongo.
msaidie mwenzio km una solution, km huna ni bora ukae kimya sababu huwezi jua yupo kwenye hali gani na hilo ni teso kwake kwa kiwango kipi, na ndio maana kuna msamaha; maana yake ni kwamba kuna makosa tunayafanya( km aliyapata kwa waganga) na baada ya kugundua tunataka kurestore hali zetu za awali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.