Lowassa ndani ya Scoan tv

Lowassa ndani ya Scoan tv

Status
Not open for further replies.
Ehe! inaonekana amepeleka fungu la kumi....Na atabiriwe kabisa kua ni serikali ngapi zinafaa kwa sasa 1,2 au 3....
Hivi kanisa lake la LUTHERAN kwanin lisoimvue au limwambie ahamie kabisa SCAON kwani kashalihasi mwili upo Lutheran akili zipo kwa Joshua
 
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"

ametumia gharama kubwa sana kwenda Nigeria na amemwacha Mungu nyumbani kwake.
 
Ukiiba pesa za masikini lazima uanze kuweweseka, utubu. Na bado mpaka arudishe hizo hela fisadi mkubwa huyu



Aliiba Pesa wapi? Waziri mkuu sio meneja wa Benki wala duka la kubadilisha fedha.
Kupigua kifua kampuni ipate tenda sio dili ya ujambazi.Kwa mujibu wa Report ya Mwakyembe Lowassa alituhumiwa kwa kuingilia mchakato wa kumpata mzabuni wa kuzalisha umeme.
Hata hivyo hakuhojiwa na kamati ili bunge liambiwe kwamba ni kwa nini alifanya hivyo. Pia tume ya kuzuia rushwa ilipochunguza kama palikua na rushwa katika siala la richmond time ilisema hapakua na rushwa.Sasa huo unaouita wizi wa kumfanya asiende hata kusali uko wapi? Au wewe usafi wako ni wa kiasi gani cha kuweza kumchagulia Mungu waumini?
 
Kaonekana kwenye nyumba ya ibada, wengine wanaongea kwa dhihaka. Mkimuona kwa
waganga wa kienyeji anachanjwa chale ndio mtaona vyema?

umenena point watu kila kitu wana lalamika na ingekuwa sehemu mbaya ingekuwaje hata kufikiri ni tatizo
 
kutoka kwenye kikombe cha babu wa loliondo mpaka kwa t.b joshua?
 
kutoka kwenye kikombe cha babu wa loliondo mpaka kwa t.b joshua?
 
Badala aende hospitali tu,maana hata kukimbia hawezi
 
Kaonekana kwenye nyumba ya ibada, wengine wanaongea kwa dhihaka. Mkimuona kwa
waganga wa kienyeji anachanjwa chale ndio mtaona vyema?

...........huyo TB Joshua ni mganga tosha, ndoo maana wanakimbilia huo !
Unatoa pesa kwajina la sadaka na unaahidiwa unachotaka (Utajiri, Urais, na mengineyo ya Dunia):loco:
 
...........huyo TB Joshua ni mganga tosha, ndoo maana wanakimbilia huo !
Unatoa pesa kwajina la sadaka na unaahidiwa unachotaka (Utajiri, Urais, na mengineyo ya Dunia):loco:

ulitegemea aende kwa shekhe ndo uone yupo sahihi? na nyie mnapeleka kwa waganga wa kienyeji je??
 
Nibora huyu anaye enda kwa prophet tunamuona, siokama hao wanaoenda kwa waganga wa kienyeji usiku kucha👹
 
siku zote na duniani kot wanajadiliwa "man of action" like wanasiasa,so ukitaka ujadiliwe na wewe be "man of action" mwanga
 
Last edited by a moderator:
jamani kuna jambo hili napenda tushirikiane kwa upendo kabisa kwanza tabia hii ya kukimbilia maombezi kwa manabii ni hatar sana kwa dunia ya sasawengi wanamfuata shetani wakifikiri ni Mungu ni heri uende kwa mchungaji kuliko.hawa manabii kwa kweli utapotea kwa kufikiri unapata.

Unaweza ukawa hauko sahihi kwa kiac fulani kwa sababu km Mungu mwenyewe kawaweka manabii dunian ww mwanadamu unawezaje kuwakataa? Ni kweli manabii wa uongo wapo, la muhim ni kutokwenda kiholelaholela kwa sababu kwa kufanya hivyo unaweza kukutana na manabii wa uongo.
 
GO, Lowassa go!!! Acha wenye vijiba vya roho wajinyonge. Yesu ni zaidi ya wajuavyo.
 
Hii ni mara yake ya tatu km co ya nne.kma ilivyo kawaida ya douse mwachen amalizie huenda wkt wke ndo huu.mishale aliipat sn jmn ai kwn magufuli nae mbn hajaanikwa?!na wengne...cna interest na chama chochote bt from my point og view...lowasa kw ss anafaa kuwa prezoo mbn nchi itaneemeka jmn

Magufuli alishaanikwa kitambo kama ilivyokuwa kwa Lowassa (Angalia picha hapo chini), najaribu kuangalia yupi hasa alishapata upako wa TB Joshua kati ya hawa waliokwisha kwenda bado sipati jibu.



View attachment 149596
Lowassa

d3f426f9fdd56152a3f780f81101d4cb.jpg
TB Joshua and Magufuli

c6fa9849603f3f22835bd3cbef3a6144.jpg

28cab58262eb4fce236870a5e470cb82.jpg

Nafikiri nimetoa vielelezo jinsi watu hawa walivyoshiriki/walivyohudhuria maombezi na uponyaji wa Nabii huyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom